Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi Nchini na Baraza la Taifa na Usalama barabarani kuhakikisha wanayakamata mabasi yote yasiyo na vidhibiti mwendo.
Add a commentRead more: TRAFIKI KAMATENI MABASI YASIYO NA VIDHIBITI MWENDO.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP. Camilius Wambura ameunda tume huru kuchunguza tukio la mauaji ya watu wawili waliouawa baada ya askari kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto katika vurugu zilitokea Kijiji cha Ikwambi Kata Mofu Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro.
Add a commentRead more: TUME KUCHUNGUZA POLISI WALIOUA RAIA KWA RISASI KILOMBERO.
Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya viongozi kutochukua hatua dhidi ya ubadhirifu na miradi isiyoendana na thamani ya fedha katika maeneo yao ya kiutendaji hadi pale mbio za Mwenge zinapokuja kubaini kasoro zilizopo katika miradi hiyo.
Add a commentRead more: TUMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUPINGA UFISADI-Rais Samia.
Watu wawili wamefariki Dunia na wengine ambao idadi kamili bado haijafahamika wamejeruhiwa baada ya kuibuka vurugu kati ya Askari Polisi na wakazi wa Kijiji cha Ikwambi kata ya Mofu wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro.
Add a commentRead more: WATU WAWILI WAUAWA KATIKA VURUGU ZA WANANCHI NA POLISI MOROGORO.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah J. Kairuki akiwasili Makao Makuu ya Ofisi za Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dar es salaam na kupokelewa na Mkurugenzi wa DART, Dkt. Edwin Mhede leo Oktoba 10, 2022
Add a commentRead more: KAIRUKI ATEMBELEA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki amesema Serikali imetoa Shilingi bilioni 13.88 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya katika Mkoa wa Kigoma.
Add a commentRead more: "MABILIONI TAYARI YAMETOLEWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA".
Mafunzo ya Kuendeleza Ujuzi yanayotolewa kupitia ruzuku ya Mfuko wa Kuendeleza Ujuzi (SDF) unaoratibiwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) yametengeneza fursa za ajira kwa mamia ya vijana na akinamama katika wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya kupitia mradi wa kufuga samaki.
Add a commentRead more: MAFUNZO YA KUENDELEZA UJUZI YATENGENEZA AJIRA MBEYA.
Rais wa Tanzania Samia Suluhi Hassan ameipongeza klabu ya Simba kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Primeiro de Agosto ya Angola.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA AIPONGEZA SIMBA KUTINGA HATUA YA MAKUNDI.
Waziri wa Madini Dokta Doto Biteko amefanya ziara ya kushtukiza katika soko la Madini mjini Geita ikiwa ni siku chache tangu kubainika kwa wizi mpya wa Madini ambao unapunguza ubora wa Dhahabu.
Add a commentRead more: ZIARA YA KUSHTUKIZA YAWAWEKA MAAFISA KIKAANGONI GEITA.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.