Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo amewaongoza watanzania katika kutoa salamu za mwisho kwa watu 19, waliopoteza maisha kutokana na ajali iliyosababishwa na kudondoka kwa ndege katika mkoa wa Kagera wilayani Bukoba.
Add a commentRead more: Watu 19 waliofariki na ajili ya ndege ya Precision, Waagwa uwanja wa Kaitaba
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo na kasi ya ujenzi wa mabehewa mapya kwa ajili Reli ya Kisasa (SGR) ya Shirika la Reli Tanzania yanayotengenezwa na kampuni ya Sung Shin Rolling Stock (SSRT) iliyoko nchini Korea Kusini.
Add a commentRead more: MAJALIWA AFIKA YANAPOTENGENEZWA MABEHEWA YA SGR KOREA KUSINI.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP. Camilius Wambura ameunda tume huru kuchunguza tukio la mauaji ya watu wawili waliouawa baada ya askari kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto katika vurugu zilitokea Kijiji cha Ikwambi Kata Mofu Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro.
Add a commentRead more: TUME KUCHUNGUZA POLISI WALIOUA RAIA KWA RISASI KILOMBERO.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala Bora na Serikali za mitaa (USEMI) ikiongozwa na Jaffari Chaurembo, Mbunge wa Jimbo la Mbagala haijaridhishwa na kasi ya Ujenzi wa Shule mpya maalum ya Sekondari ya Bweni na sayansi ya Wasichana katika Mkoa Kagera kupitia Mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP).
Add a commentWatu wawili wamefariki Dunia na wengine ambao idadi kamili bado haijafahamika wamejeruhiwa baada ya kuibuka vurugu kati ya Askari Polisi na wakazi wa Kijiji cha Ikwambi kata ya Mofu wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro.
Add a commentRead more: WATU WAWILI WAUAWA KATIKA VURUGU ZA WANANCHI NA POLISI MOROGORO.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema kuwa Baraza la Mitihani ya Taifa limejiridhisha kwamba watahiniwa katika shule ya Chalinze Modern Islamic walibadilishiwa namba ya mtihani.
Add a commentRead more: SHULE YA MODERN ISLAMIC YAFUNGIWA KWA MUDA USIOJULIKANA.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki amesema Serikali imetoa Shilingi bilioni 13.88 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya katika Mkoa wa Kigoma.
Add a commentRead more: "MABILIONI TAYARI YAMETOLEWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA".
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi Nchini na Baraza la Taifa na Usalama barabarani kuhakikisha wanayakamata mabasi yote yasiyo na vidhibiti mwendo.
Add a commentRead more: TRAFIKI KAMATENI MABASI YASIYO NA VIDHIBITI MWENDO.
Rais wa Tanzania Samia Suluhi Hassan ameipongeza klabu ya Simba kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Primeiro de Agosto ya Angola.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA AIPONGEZA SIMBA KUTINGA HATUA YA MAKUNDI.
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.