Wizara ya afya nchini Uganda imethibitisha kifo cha mhudumu mwingine wa afya, ambaye amefariki alfajiri ya leo Jumatano.
Add a commentIdadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola inaendelea kuongezeka nchini Uganda.
Add a commentKamishna Mkuu wa Uingereza Jane Marriott ametupilia mbali madai kwamba yeye na nchi yake waliingilia uchaguzi mkuu wa Kenya uliomalizika hivi majuzi.
Add a commentShirika la ndege la Kenya Airways limethibitisha kuwa abiria aliyepata matatizo ya kupumua alipokuwa akipanda ndege kuelekea Mombasa nchini humo.
Add a commentMbunge mteule nchini Kenya, Didmas Barasa, amejisalimisha kwa polisi baada ya kutafutwa kwa siku tatu kutokana na tukio la kufyatua risasi na kumuua msaidizi wa mpinzani.
Add a commentMwanasiasa wa Kenya William Ruto ataapishwa leo kuwa rais wa tano wa taifa hilo wiki moja baada ya Mahakama ya Juu nchini humo kutupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi wa Agosti 9 yaliyompa ushindi.
Add a commentUjumbe wa Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) nchini Kenya umeipongeza Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa kutekeleza zoezi la upigaji kura lililokamilika Jumanne.
Add a commentMahakama ya Juu Kenya kutoa uamuzi kuhusu uchaguzi wa rais Kenya Mahakama ya juu nchini Kenya itatoa uamuzi wake leo wa kama itaidhinisha au kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa rais wa mwezi uliopita.
Add a commentPolisi wa Kenya katika mji mkuu Nairobi wamevamia ofisi zinazoaminika kuwa na uhusiano na naibu wa rais wa nchi hiyo, William Ruto, ambaye ni mmoja wa wagombea wakuu katika uchaguzi wa mwezi ujao.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.