Serikali imetoa wito kwa wasanii kuendelea kusajili kazi zao katika mamlaka zinazo husika ili zilindwe kisheria na mamlaka hizo katika kuhakikisha zinawanufaisha na kufanikisha ndoto zao.
Add a commentWaziri wa Biashara na uchumi nchini Ufaransa Franck Riester amezindua magari ya umeme yaliyoundwa na kampuni ya E-Motion Africa hapa nchini.
Add a commentJeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Ndungi katika Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo kwa madai ya kukataa kuchangia nyama ya Shilingi 1,500 waliyonunua.
Add a commentRead more: AMUUA NDUGU YAKE KWA KUGOMA KULIPA NYAMA YA SHIL. 1500.
Serikali imesema malalamiko yaliyojitokeza hivi karibuni ya kupanda kwa bei ya nyama nchini yanaashiria ukuaji wa sekta hiyo ambapo wafugaji wameshauriwa kuwa huu ni muda mzuri kwa wao kuvuna na kuuza mifugo yao.
Add a commentMakamu wa Rais Dokta Philip Mpango amesema hajaridhishwa na shirika la Posta jinsi linavyotumia fursa za masoko ya nje ya nchi hususani jumuiya ya afrika ya mashariki na ukanda wa SADC kwani takwimu zinaonyesha kuwa huduma za Posta zinachangia chini ya asilimia 0.5 ya fedha za kigeni zinazotokana na mauzo ya huduma za Posta nje ya nchi
Add a commentWaumini wa Dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuendelea kuyaenzi mafundisho ya mtume Muhamad S.A.W yanayojikita katika upendo, mshikamano na amani ili jamii na Taifa kwa ujumla liweze kufikia maendeleo yaliyokusudiwa.
Add a commentRead more: WAISLAM WAASWA KUYAISHI MAFUNDISHO YA MTUME MUHAMMAD.
Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Ashatu Kachambwa Kijaji aliyefika Ikulu, Zanzibar kujitambulisha rasmi.
Add a commentMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo Oktoba 19,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Uchumi na Biashara za kimataifa wa Ufaransa Franck Riester, Ikulu Jijini Dar es salaam.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge Ngorongoro na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji, William Tate Ole Nasha na amewasihi wananchi wamuenzi kwa kuyaendeleza mambo mazuri yote aliyofanya enzi za uhai wake.
Add a commentRead more: MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA NAIBU WAZIRI WILLIAM OLE NASHA.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.