Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea mazoezi ya timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania (Taifa Stars) na amewaeleza wachezaji kwamba Watanzania wanamatarajio makubwa kwamba timu yao itafuzu na kushiriki kombe la Dunia litakalofanyika, Qatar 2022.
Add a commentRead more: “WATANZANIA WANA MATARAJIO MAKUBWA NA TAIFA STARS”.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara yake tayari imetangaza zabuni ya kimataifa, ya usanifu wa viwanja viwili vya kisasa mahususi kwa ajili ya michezo ya ndani (sports and arts arena), katika jiji la Dar es Salaam na Dodoma.
Add a commentRead more: 'SPORTS AND ARTS ARENA' KUJENGWA DAR ES SALAAM NA DODOMA.
Waziri wa Biashara na uchumi nchini Ufaransa Franck Riester amezindua magari ya umeme yaliyoundwa na kampuni ya E-Motion Africa hapa nchini.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania pamoja na wadau wa soka nchini kuungana kwa pamoja na kuhakikisha timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa Miguu (Taifa Stars) inafanya vizuri kwenye michezo yote iliyobaki ili kufuzu kushiriki kombe la Dunia litakalofanyika nchini Qatar 2022.
Add a commentRead more: BIL.1.6 KUCHAGIZA TAIFA STARS KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022.
Serikali imesema malalamiko yaliyojitokeza hivi karibuni ya kupanda kwa bei ya nyama nchini yanaashiria ukuaji wa sekta hiyo ambapo wafugaji wameshauriwa kuwa huu ni muda mzuri kwa wao kuvuna na kuuza mifugo yao.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza Mawaziri na Naibu Waziri wasimamie taasisi na idara zilizopo chini ya wizara zao ili zizingatie vigezo vyote vya utawala bora pamoja na kukemesha vitendo vya rushwa ambavyo ndio adui mkubwa wa utawala bora.
Add a commentRead more: “MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI KEMEENI RUSHWA”-Wazri Majaliwa
Waumini wa Dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuendelea kuyaenzi mafundisho ya mtume Muhamad S.A.W yanayojikita katika upendo, mshikamano na amani ili jamii na Taifa kwa ujumla liweze kufikia maendeleo yaliyokusudiwa.
Add a commentRead more: WAISLAM WAASWA KUYAISHI MAFUNDISHO YA MTUME MUHAMMAD.
Serikali imetoa wito kwa wasanii kuendelea kusajili kazi zao katika mamlaka zinazo husika ili zilindwe kisheria na mamlaka hizo katika kuhakikisha zinawanufaisha na kufanikisha ndoto zao.
Add a commentMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo Oktoba 19,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Uchumi na Biashara za kimataifa wa Ufaransa Franck Riester, Ikulu Jijini Dar es salaam.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.