Rais Magufuli amemchagua Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mweza katika Uchaguzi wa Urais wa Tanzania, Oktoba 2020.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI AMTEUA MAMA SAMIA KUWA MGOMBEA MWENZA.
Tanzania na China zimeahidi kuendeleza ushirikiano wa kidiplomasia ili kuhakikisha kuwa nchi hizo zinakuwa na maendeleo endelevu.
Add a commentJeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam linawashikilia watu 32 watuhumiwa wa wizi wa shilingi Bilioni 2.82 za benki ya NMB wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya ulinzi iliyopewa jukumu la kulinda wakati fedha hizo zikihamishwa kutoka tawi la benki hiyo la Mbezi Beach kwenda NMB House Posta Mpya na kutokomea kusikojulikana na gari iliyobeba fedha hizo.
Add a commentRead more: WALIOIBA BILIONI 02.82 ZA NMB TAYARI MIKONONI MWA POLISI.
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM umempitisha Dkt Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar baada ya kupata kura 129 sawa na asilimia 78.65 akiwashinda wenzake wawili Shamsi Vuai Nahodha na Dkt. Khalid Salim Mohamed.
Add a commentRead more: Breaking News: DKT HUSSEIN MWINYI APITISHWA KUWA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR.
Kuelekea Mkutano wa Baraza la Chama na Mkutano Mkuu utakaofanyika Julai 29, Mhe. Tundu Lissu amesema atarudi nyumbani (Tanzania) mwishoni mwa Julai ili kuhudhuria mkutano huo, ambapo katika Mkutano huo ndio utaamua kumpitisha nani atakayepata ridhaa ya kuwania urais mwaka huu kupitia Chama hicho.
Add a commentAliyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amejiunga Chama cha Mapinduzi (CCM).
Add a commentKamanda wa Polisi mkoani Dodoma Gilles Muroto amethibitisha kutokea kwa ajali ya gari aina ya Noah ambayo ilikuwa ikitokea Morogoro kwenda Dodoma na kugongana na Lori.
Add a commentRead more: AJALI YAUA WATU WATANO MKOANI DODOMA, WAWILI WAJERUHIWA.
Rais Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Arumeru na Afisa Usalama wa Wilaya hiyo mkoani Arusha kwa kushindwa kutimiza majukumu yao.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI AWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA POLISI, AFISA USALAMA KWA UZEMBE.
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo , Zitto Kabwe na viongozi wengine saba wa Chama hicho wameripoti Kituo Kikuu cha Polisi Mkoani Lindi kama walivyohitajika.
Add a commentVinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduk [ ... ]
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo.
Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulany [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.