Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema leo kinatarajia kuishangaza dunia wakati kikizindua kampeni za uchaguzi mkuu wa urais, ubunge na udiwani katika Uwanja wa Jamhuri.
Add a commentMgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia (CHADEMA), Tundu Lissu ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu anapokabiliwa na kesi ya uchochezi kwa sababu ya kukwamishwa na mchakato wa kurudisha fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Add a commentRead more: KESI YA LISSU SOGEZWA MBELE, MDHAMINI WAKE AZUNGUMZA.
Watu wasiofahamika wamevunja Ofisi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya Mjini na kuteketeza kwa moto baadhi ya nyaraka muhimu za chama hicho zikiwemo fomu za wagombea ubunge wa viti maalumu.
Add a commentRead more: WATU WASIOFAHAMIKA WACHOMA NYARAKA ZA OFISI YA CHADEMA MBEYA.
Mtumishi wa kazi za ndani Ashura Suka (15) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mtoto mdogo wa mwajiri wake.
Add a commentMsemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbas Tanzania inalenga kuweka rekodi ya kusambaza umeme katika vijiji vyote zaidi ya 12,000 nchini ifikapo Juni 30, 2021.
Add a commentRead more: “VIJIJI VYOTE TANZANIA KUPATIWA UMEME IFIKAPO JUNI 2021”-Msemaji Mkuu wa Serikali.
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imewaagiza wamiliki wa ndege ndogo zisizo na rubani (drones) kuhakikisha ndege hizo zimesajiliwa ifikapo Agosti 28, 2020.
Add a commentRead more: TCAA YATOA TAMKO KWA WAMILIKI WA NDEGE NDOGO ZISIZO NA RUBANI (DRONES).
Baraza kuu la Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), limemkabidhi Tuzo maalum Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli kwa kutambua mchango wake katika kuliongoza Taifa kumtegemea Mungu katika kipindi cha janga la Virusi vya Corona nchini.
Add a commentChama cha Mapinduzi(CCM), kimetangaza majina ya wagombea wake walioteuliwa kuwania nafasi za ubunge kwenye majimbo pamoja na viti maalum.
Add a commentRead more: WAGOMBEA UBUNGE WALIOPENYA KWENYE MIKONO YA WAJUMBE WA HALMASHAURI KAMATI KUU CCM TAIFA.
Tanzania imejivunia mafanikio yaliyopatikana wakati ikiwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Add a commentRead more: TANZANIA YATOBOA SIRI YA FURAHA YAKE CHINI YA UENYEKITI WA SADC.
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma ametakiwa mpaka kufikia Jumatano awe amependekeza adhabu ambayo mahakama kuu [ ... ]
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatatu alitangaza baraza jipya la Mawaziri katika hatua ambayo inaimar [ ... ]
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema tayari serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu.
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.