Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhudhuriwa na zaidi ya Wakuu wa Nchi 40, wawakilishi wa serikali pamoja na watu mashuhuri wa ndani na wa kimataifa na wajumbe wa mkutano huo
Gwaride la vikosi vya usalama litajumuisha maafisa kutoka katika taaluma mbalimbali za Huduma ya Polisi ya Afrika Kusini (SAPS) na kusaidiana mashirika ya usalama yaliyotumwa kulinda tukio hilo
Matokeo tarajiwa katika mkutano huo ni pamoja na; Mosi, kuthibitisha uhusiano wa karibu na wa kihistoria wa kisiasa unaotegemezwa na
Read MoreCopyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.