Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameeleza kuwa ataendelea kusimamia upatikanaji wa miundombinu ya michezo kwenye halmashauri na uhai wa michezo ya UMITASHUMTA na UMISETA mashuleni.
Add a commentPanya maarufu na shujaa wa Tanzania aliyetumika kutafuta na kutegua mabomu ya ardhini na vilipuzi kwa jina la Magawa amefariki dunia mwishoni mwa wiki hii.
Add a commentRead more: PANYA MAARUFU WA TANZANIA WA KUTEGUA MABOMU AFARIKI.
Siku moja baada ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kutangaza kujiuzulu, Bunge limetangaza kusitisha shughuli zake zote mpaka atakapopatikana spika mpya Februari mosi mwaka huu.
Add a commentGari la waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza lililokuwa kwenye ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza limepata ajali eneo la Busega ambalo lilikuwa linaelekea Ukerewe kupitia Bunda.
Add a commentKamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Kamishina Msaidizi wa Polisi ACP. Justine Masejo leo Desemba 28.2021 ametoa taarifa juu ya tukio la mauaji ya marehemu Ruth Mmasi lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita mwaka huu 2021 huko maeneo ya Njiro katika halmashauri ya jiji la Arusha.
Add a commentRead more: UCHUNGUZI KUENDELEA DHIDI YA MAUAJI YA MFANYABIASHARA MADINI RUTH MMASI.
Rais Samia Suluhu Hassana amesema amewapa kazi mpya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Add a commentRead more: "PROF. KABUDI NA LUKUVI WANA KAZI MAALUM”-Rais Samia.
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa wa Tanzania Bara 5704.
Read more: WAFUNGWA 5704 KUACHIWA, RPC MULIRO ATAKIWA KUMTAFUTA ASKOFU MWINGIRA.
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri huku akiteua mawaziri wapya watano.
Add a commentRead more: MAWAZIRI WALIOTEULIWA NA WALIOACHWA KATIKA MABADILIKO YA BARAZA JIPYA.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amewataka madiwani kuipa kipaumbele zaidi ajenda ya ujenzi na uboreshaji wa miundo mbinu ya viwanja vya michezo katika halimashauri zao, akisistiza kuwa michezo ni kipaumbele kikubwa kwa jamii, kama ilivyo kwa vipaumbele vingine.
Add a commentRead more: MADIWANI WAASWA KUTOA THAMANI KWA MIUNDOMBINU YA MICHEZO.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.