Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali watoe msukumo Katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi kwa kuhamasisha uwekezaji zaidi, kuimarisha biashara pamoja na kutafuta masoko ya bidhaa zinazozalishwa nchini katika maeneo yao ya uwakilishi.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeahidi kutatua changamoto mbalimbali zinazokwamisha utekelezaji wa ujenzi wa mradi mkubwa wa kiwanda cha ITRACOM FERTILIZERS LTD kitakachokuwa kinazalisha mbolea asilia ili kurahisisha usafirishaji wa malighafi pamoja na kuwa na miundombinu ya kudumu.
Add a commentRead more: CHANGAMOTO ZINAZOKWAMISHA UZALISHAJI MBOLEA ASILIA KUTATULIWA.
Panya maarufu na shujaa wa Tanzania aliyetumika kutafuta na kutegua mabomu ya ardhini na vilipuzi kwa jina la Magawa amefariki dunia mwishoni mwa wiki hii.
Add a commentRead more: PANYA MAARUFU WA TANZANIA WA KUTEGUA MABOMU AFARIKI.
Mtangazaji mashuhuri wa BBC Zuhura Yunus anaondoka kutoka shirika hilo baada ya kulitumikia kwa takriban miaka 14.
Add a commentGari la waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza lililokuwa kwenye ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza limepata ajali eneo la Busega ambalo lilikuwa linaelekea Ukerewe kupitia Bunda.
Add a commentMiili ya waandishi wa habari watano pamoja na dereva wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza waliofariki katika ajali ya gari Januari 11 imeagwa leo Januri 12, 2022 katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.
Add a commentRead more: MIILI YA WAANDISHI YAAGWA, NAPE ATOA AGIZO KWA WAAJIRI.
Rais Samia Suluhu Hassana amesema amewapa kazi mpya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Add a commentRead more: "PROF. KABUDI NA LUKUVI WANA KAZI MAALUM”-Rais Samia.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameeleza kuwa ataendelea kusimamia upatikanaji wa miundombinu ya michezo kwenye halmashauri na uhai wa michezo ya UMITASHUMTA na UMISETA mashuleni.
Add a commentRais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri huku akiteua mawaziri wapya watano.
Add a commentRead more: MAWAZIRI WALIOTEULIWA NA WALIOACHWA KATIKA MABADILIKO YA BARAZA JIPYA.
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.