Star Tv

Waziri wa Madini Dokta Doto Biteko amefanya ziara ya kushtukiza katika soko la Madini mjini Geita ikiwa ni siku chache tangu kubainika kwa wizi mpya wa Madini ambao unapunguza ubora wa Dhahabu.

Akiwa katika soko hilo amesema wapo baadhi ya maafisa wanashiriki mchezo wa kupunguza ubora wa Madini wakishirikiana na wafanyabiashara na sasa wamekamilisha orodha yao hatua zaidi zitafata.

Dkt. Biteko ameongeza kuwa wanafanya operesheni Nchi nzima kufuatilia wanaodanganya juu ya ubora wa dhahabu na watakaobainika wanafanya hivyo watafutiwa leseni zao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.