Jumla ya watahiniwa 1,384,340 wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika Oktoba tano na sita mwaka huu.
Add a commentWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, amewaomba wazee kubadilisha hadithi za kale walizo wasimulia wajukuu zao kuhusiana na Imani za kishirikina na badala yake wakawahadithie hadithi zitakazowajenga na kuwa raia wema kwa taifa.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini kuweka mkakati wa kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani katika maeneo yao.
Add a commentRead more: TAMKO LA MAJALIWA JUU YA VIASHIRIA VYA UVUNJIFU AMANI.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa leo Septemba 26, 2022 amewasili Mkoani Manyara kwa ajili ya ziara ya kikazi.
Add a commentRead more: BASHUNGWA AWASILI MANYARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO.
Siku chache Baada ya CCM kushauri serikali kufuta tozo, pamoja na kelele za muda mrefu za Wananchi kuhusu tozo, Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba ametangaza kufuta baadhi ya Tozo.
Add a commentMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres.
Add a commentRead more: DKT. MPANGO ATETA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA.
Serikali imezielekeza Halmashauri zote nchini kuanisha maeneo ya kimkakati ili ujenzi wa vituo vya afya vijengwe katika maeneo hayo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi.
Add a commentRead more: HALMASHURI ZAAGIZWA KUANISHA MAENEO YA KIMKAKATI UJENZI VITUO VYA AFYA.
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja anayesafirisha madawa ya kulevya aina mirungi katika jiji la Arusha.
Add a commentRead more: ALIYETUMIA DAWA ZA KIENYEJI KUKWEPA ASKARI AKAMATWA.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuweka mpango wa matumizi ya ardhi katika eneo la Mradi wa wa Chanzo na Kituo cha Tiba ya Maji cha Butimba mkoani Mwanza.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.