Wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wa chama cha upinzani Chadema, wamesema wataendelea kuwa 'wanachama wa hiyari' wa chama hicho huku wakipanga kukata rufaa juu ya adhabu waliyopewa.
Add a commentRead more: “HATUONDOKI CHADEMA, TUNAKATA RUFAA”- Halima Mdee.
Mtanzania Rashid Charles Mberesero aliyehukumiwa kifungo cha maisha mwaka 2019 baada ya kupatikana na hatia ya kushiriki shambulizi la kigaidi mnamo 2015, amejitia kitanzi katika gereza la Kamiti.
Add a commentRead more: MTANZANIA ALIYETEKELEZA SHAMBULIZI CHUO CHA GARISSA AJINYONGA GEREZANI.
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli ameahidi kupandisha mishahara kwa watumishi iwapo atapewa ridhaa yakuwa rais kwa muhula wa pili.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo wakati akifanya mkutano katika uwanja wa TTC Korogwe mkoa wa Tanga wakati akinadi sera za chama hicho na kuomba ridhaa kwa wananchi kumchagua kuwa Rais na kuchagua wabunge na madiwani wa CCM.
Akizungumza wakati wa mkutano huo, hiyo huku akisisitiza kuwa ili mipango mbalimbali iweze kufanikiwa ni lazima kujipanga kukusanya fedha na kutengeneza miundombinu.
“Maendeleo ni lazima yapangwe, bila kupangwa hakuna kitakachofanyika....Miaka mitano ilikuwa ya kujipanga ndio maana tulijenga vituo vya afya, zahanati, hospitali za mikoa”.-Dkt.Magufuli.
Mgombea Urais huyo amesema miaka mitano iliyopita, serikali imeweza kuajiri watumishi 74,000, pamoja na kuimarisha uchumi wa Tanzania.
Add a commentAliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini John Heche wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameshindwa kutetea jimbo hilo tena.
Add a commentRead more: HECHE ASHINDWA KUTETEA JIMBO LAKE LA TARIME VIJIJINI.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuhusu taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na utaratibu wa kupata majibu ya maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu katika mwaka wa masomo 2020/2021.
Add a commentRead more: HESLB YATOA UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA POTOFU INAYOSAMBAZWA MITANDAONI.
Mgombea urais wa JMT kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amezitaka Jumuiya za Kimataifa pamoja na jumuiya za kikanda ziingilie kati taarifa za matokeo ya uchaguzi wa Tanzania.
Add a commentRead more: LISSU AZITAKA JUMUIYA ZA KIMATAIFA KUINGILIA KATI TAARIFA ZA MATOKEO YA UCHAGUZI.
Mgombea urais wa chama cha ACT Wazalendo kwa upande wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesimamishwa kufanya kampeni na Kamati ya maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar- ZEC kwa muda 5.
Add a commentRead more: MAALIM ASIMAMISHWA KUFANYA KAMPENI ZA URAIS ZANZIBAR.
Serikali imepokea msaada wa Faranga za Uswisi Milioni 15.75 sawa na shilingi Bilioni 39.59 kwa ajili ya kugharamia mradi wa uboreshaji na uimarishaji wa mfumo wa afya pamoja na kugharamia program ya kutokomeza Malaria nchini.
Add a commentJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepokea taarifa ya vifo vya watu kumi na mbili vilivyotokana na athari ya mvua inayoendelea kunyesha Jijini Dar es salaam.
Add a commentRead more: WATU 12 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA MVUA ZINAZONYESHA DAR ES SALAAM.
Vinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduk [ ... ]
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo.
Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulany [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.