Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema Jerome Luanda ambaye ni msaidizi wa Bernard Membe yuko mikononi mwa polisi na anashangazwa na watu wanaosema ametekwa na watu wasiojulikana.
Add a commentRead more: “MSAIDIZI WA BENARD MEMBE HAJATEKWA, ANASHIKILIWA NA POLISI” –-KAMAMDA MAMBOSASA.
Mkuu wa polisi nchini Inspekta Jenerali Simon Sirro amesema waliohusika na ajali ya moto iliyowaua watoto 10 wa shule ya msingi Byamungu Islamic iliyoko wilayani Kyerwa mkoani Kagera.
Add a commentRead more: WALIOHUSIKA KWENYE AJALI YA MOTO ILIYOPELEKEA VIFO VYA WANAFUNZI 10 KUWAJIBISHWA.
Ratiba ya mikutano 5 ya mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, iliyopangwa kufanyika leo Septemba 10 mkoani Pwani, imevurugika.
Add a commentRead more: MAKENE ATAJA SABABU ZILIZOPELEKEA MIKUTANO 05 YA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA KUVURUGIKA.
Wanafunzi 10 wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya bweni la shule yao ya Byamungu English Medium Primary School iliyoko wilayani Kyerwa mkoani Kagera kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Septemba 14,2020.
Add a commentRead more: WANAFUNZI 10 WAFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO KYERWA-KAGERA.
Msemaji wa jeshi la Polisi nchini SACP David Misime amesema hali ya usalama na usimamizi wa ulinzi katika kampeni zinazoendelea nchini ni shwari na unaendelea vizuri.
Add a commentRead more: “HALI YA ULINZI NA USALAMA KATIKA KAMPENI ZINAZOENDELEA NI SHWARI”-SACP Misime.
Jaji Mstaafu Mark Bomani ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Tanzania, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Septemba 11, 2020, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Add a commentRead more: ALIYEKUWA MWANASHERIA MKUU WA KWANZA WA TANZANIA AFARIKI DUNIA.
Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania Plc, imeilipa Serikali ya Tanzania, shilingi 32.9 bilion kama gawio na mchango maalum wa maendeleo baada ya kupata faida katika Mwaka wa Fedha 2019/20.
Add a commentMtoto aitwaye Veronica Anthony mwenye umri wa miaka 17,Mwanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya msingi Kayenze ambaye ni mkazi wa Iseni amefariki dunia kwa kupigwa na kitu kizito kichwani.
Add a commentRead more: BABA AMUUA BINTI YAKE KWA KOSA LA KUCHELEWA KURUDI NYUMBANI.
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, na mkewe, Maria, wamepata watoto wengine wawili mapacha ambao ni Mapacha wa kiume na wa kike.
Add a commentRead more: "NILIITWA TASA..,UMENIHESHIMISHA KATIKATI YA MACHOZI UMENIPATIA ZAWADI TENA"-MAKONDA
Vinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduk [ ... ]
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo.
Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulany [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.