Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine kumtembelea nyumbani kwake Magere anakozuiwa na vikosi hivyo kwa zaidi ya juma moja
Hii ni baada ya mahakama kuu jana kutoa maamuzi ya ombi la Kyagulanyi na mkewe la kuondolewa kwa vikosi vya jeshi na polisi nyumbani kwake
Kulingana na mwandishi wa BBC Issaac Mumena, mawakili hao waliruhusiwa kumuona baada ya kukaguliwa kwenye kizuizi cha jeshi kilichowekwa karibu na nyumbani kwake
Kwa mujibu wa Asumani Basalirwa aliyezungumuza na BBC kwa njia ya
Read MoreCopyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.