Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe
Dkt
Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka 2021/22 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2022/23
Akiwasilisha hotuba hiyo leo Aprili 24, 2023, Dkt
Jafo amesema Ofisi ya Makamu wa Rais imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Chimbuko, Misingi na Maendeleo kwa ajili ya kutumika kama kitabu cha ziada kwa shule za sekondari nchini
Amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kuwajengea wanafunzi uelewa kuhusu namna
Read MoreCopyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.