Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameamuru raia wote ambao bado wanaishi katika maeneo ya mashariki mwa mkoa wa Donetsk chini ya udhibiti wa Ukraine kuhama kutokana na kuongezeka kwa mapigano
Eneo hilo limeshuhudia mapigano makali huku kukiwa na mwendo wa polepole wa vikosi vya Urusi kusonga mbele, ambavyo tayari vinadhibiti sehemu yake kubwa
"Tutatumia fursa zote zinazopatikana kuokoa maisha ya watu wengi iwezekanavyo na kupunguza ugaidi unaotekelezwa na Urusi kadiri iwezekanavyo"
Kuingilia kati kwa Zelensky kunakuja wakati Urusi imewaalika maafisa wa Umoja wa Mataifa na Msalaba
Read MoreCopyright © 2022 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.