Star Tv

Makamu wa Rais wa Marekani Bi, Kamala Harris, amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Makamu wa Rais wa Tanzania Dk, Philipo Mpango.

Add a comment

Zaidi ya mataifa 25 na mashirika karibu 20 yamezindua muungano wa kimataifa wa kukabiliana na ukame, wakati wa mkutano wa kimataifa wa mazingira nchini Misri, chini ya uongozi wa Uhispania na Senegal.

Waziri Mkuu wa Uhispania Pendro Sanchez amesema muungano huo utalenga kupambana na ukame popote utakapojitokeza, na kutangaza kuwa nchi yake itachangia kiasi cha awali cha dola milioni tano katika mwaka wa kwanza. Sanchez amesema Ulaya imeshudia ukame mbaya zaidi katika kipindi cha miaka 500 mwaka huu, na Afrika na maeneo mengine ya dunia pia yanakumbwa na uhaba mkubwa wa maji. Ameonya kuwa hakuna nchi moja itayoepuka madhara ya ukame, na kutoa wito kwa jamii ya kimataifa kuunga mkono mkakati huo.

 

CHANZO: DW SWAHILI

Add a comment

Rishi Sunak sasa atachukua nafasi ya Waziri Mkuu katika wakati mgumu sana kwa uchumi wa taifa hilo, Ambapo bado haijasikika mipango yoyote ya kina kutoka kwake tangu kampeni ya uongozi katika msimu wa joto.

Add a comment

Mapigano ‘makali’ kati ya wanajeshi wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo na wasi wa M23 katika eneo la Rutshuru yameendelea kwa siku ya sita ambapo imethibitishwa kuwa eneo la Ntamugenga limetekwa na M23.

Add a comment

Pentagon na jumuiya ya kijasusi ya Marekani wamesema wanafuatilia harakati zozote za silaha za nyuklia nchini Urusi wakati wa mazoezi ambayo maafisa wa Marekani wanasema yanapaswa kufanyika kabla ya mwisho wa mwezi.

Add a comment

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.