Rais mteule wa Marekani Joe Biden atatia saini maagizo 12 ya rais siku ya kuapishwa kwake kuwa rais wiki ijayo ili kushughulikia janga la virusi vya corona, uchumi wa nchi hiyo unaodorora, mabadiliko ya hali ya hewa na ubaguzi wa rangi.
Add a comment
Saudi Arabia imesema itafungua tena ubalozi wake nchini Qatar katika siku zijazo, kufuatia mkutano wa kilele wa wiki iliyopita ulioungwa mkono na Marekani, ambapo mataifa ya Ghuba yalikubaliana kumaliza mzozo wa miaka mitatu.
Akaunti za Twitter na Facebook za rais wa Marekani Donald Trump zimefutwa kwa muda baada ya kutuma ujumbe kwa wafuasi wake waliovamia bunge la Marekani.
Add a commentBunge la uwakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kutokuwa na imani dhidi ya rais Donald Trump kwa kuchochea ghasia zilizosababisha uvamizi wa jumba la bunge la Capitol.
Add a commentIdadi ya wajumbe wa Republican imeongezeka, wakiungana na juhudi za Rais Donald Trump kupinga matokeo ya uchaguzi wa Marekani uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2020.
Add a commentRais mteule wa Marekani Joe Biden atatia saini maagizo 12 ya rais siku ya kuapishwa kwake kuwa rais wiki ijayo ili kushu [ ... ]
Rais wa muda mrefu nchini Uganda Yoweri Museveni jana Jumamosi ameonya kuwa vikosi vya usalama vitatumia nguvu kuzima ju [ ... ]
Watu wawili wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamenusurika kuawa na wananchi wenye hasira kali kutoka kwa vijana [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.