Watu wenye silaha wamevamia hospitali mbili katika mashambulizi tofauti kaskazini-magharibi na zilizopo katikati mwa Nigeria.
Add a commentChina inadaiwa kuwa itafungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya Vanguard imeripoti.
Add a commentRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhesimiwa Dk.Hussein Ali Mwinyi, awasili jijini Luanda Angola.
Add a commentUmoja wa Mataifa umezitaka mamlaka nchini Libya kuagiza uchunguzi "haraka, huru na wa uwazi" kuhusu mauaji ya wahamiaji 15 karibu na mji wa pwani wa Sabratha.
Add a commentMahakama ya katiba nchini Angola imetupilia mbali madai ya chama cha upinzani UNITA kuyafuta matokeo ya uchaguzi yaliyokipa ushindi chama tawala cha MPLA.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.