Waandamanaji katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia na kuharibu kambi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa kushinika ziondoke nchini humo.
Add a commentMaafisa nchini Zambia wamemrejesha raia wa China ambaye alikimbia kutoka Malawi mwezi uliopita kwa tuhuma za kuuza video za kudhalilisha watoto wa Malawi.
Add a commentRais wa Senegal Macky Sall amesema atasafiri hadi Urusi na Ukraine hivi karibuni katika wadhifa wake kama mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika kwa lengo la kuzuru nchi hizo mbili.
Add a commentMkuu wa Umoja wa Afrika, Rais Macky Sall wa Senegal, ameeleza "wasiwasi mkubwa" kutokana na kuongezeka kwa mvutano kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda.
Add a commentBinti aliyefahamika kwa jila la Halima Yunusa Ibrahim amempeleka babamkwe wake latika Mahakama ya Kiislamu Islamic (Sharia Court) katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria kwa madai ya kukataa aolewe na mpenzi wake Bashir Yusuf.
Add a commentRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameamuru raia wote ambao bado wanaishi katika maeneo ya mashariki mwa mkoa wa Donetsk [ ... ]
Kifo cha mhamiaji aliyeshambuliwa mchana kweupe nchini Italia kimezua hasira.
Katibu Mkuu wa Shrikishi la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kidao Wilfred amesema amesekitishwa na madai ya yaliyekuwa Af [ ... ]
Copyright © 2022 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.