Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya watu 1,000. Hapo awali, tarehe 21 Septemba 2013, Kenya iliingiwa na hofu baada ya magaidi wanaoshirikiana na Wanamgambo wa Al Shabaab kuteka Jumba la Biashara la Westgate jijini Nairobi, na kuua watu 67 na kujeruhi zaidi ya watu 150. Haya ikiwa ni baadhi ya matukio ya kigaidi ambayo yamewahi kuitikisa Africa na dunia kiujumla.
Add a commentBaraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limeitisha kikao cha dharura hii leo kujadiliana hali ya kisiasa na usalama nchini Sudan.
Add a commentChina inadaiwa kuwa itafungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya Vanguard imeripoti.
Add a commentWatu wenye silaha wamevamia hospitali mbili katika mashambulizi tofauti kaskazini-magharibi na zilizopo katikati mwa Nigeria.
Add a commentUmoja wa Mataifa umezitaka mamlaka nchini Libya kuagiza uchunguzi "haraka, huru na wa uwazi" kuhusu mauaji ya wahamiaji 15 karibu na mji wa pwani wa Sabratha.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.