Wizara ya afya nchini imefunga mashine nyingine kubwa na ya kisasa kwa ajili ya kupima kipimo cha haraka cha UVIKO-19 kwa wasafiri wanaoenda nchi za Falme za Kiarabu ikiwemo Dubai.
Add a commentRead more: WANAOTOKA TANZANIA KWENDA DUBAI WATAKIWA KUPIMA MARA MBILI KABLA YA SAFARI.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima ameanzisha utekelezaji wa mfumo wa kukusanya maoni toka kwa watendaji wa taasisi anazosimamia kuanzia makao makuu ya wizara idara zote mbili ya afya na maendeleo ya jamii.
Add a commentRead more: WATENDAJI TAASISI ZA AFYA WAANZISHIWA MFUMO WA KUTOA MAONI.
Tanzania imeadhimisha miaka 60 ya uhuru tangu ilipojinasua kutoka katika utawala wa kikoloni.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakandarasi na Taasisi nyingine za sekta binafsi kuzingatia weledi, maadili na uaminifu katika majukumu yao ili wanapotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo iweze kuleta tija kwenye maisha ya Watanzania.
Add a commentRead more: “WAKANDARASI NA SEKTA BINAFSI KUWENI WAAMINIFU”-Waziri Mkuu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ametatua kero sugu iliyodumu muda mrefu inayowahusu ndugu wanaouguza wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana Jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: GWAJIMA ATATUA KERO SUGU ILIYOKUWEPO HOSPITALI YA AMANA.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa jumla ya vikwazo 46 vya biashara kati ya 64 vilivyokuwepo.
Add a commentRead more: VIKWAZO 46 VYA KIBIASHARA BAINA YA KENYA TANZANIA VYAONDOLEWA.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ametatua kero sugu iliyodumu muda mrefu inayowahusu ndugu wanaouguza wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa Amana Jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: GWAJIMA ATATUA KERO SUGU ILIYOKUWEPO HOSPITALI YA AMANA.
Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kushirikiana na wataalam kutoka mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili wametoa mafunzo kwa takriban Waandishi wa Habari 25 kutoka vyombo mbalimbali nchini ambavyo ni TV, Redio, pamoja na Magazeti.
Add a commentRead more: MAFUNZO YA UHIFADHI MALIASILI KWA WAANDISHI KUSAIDIA KUENDELEZA URITHI ULIOPO.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka jamii kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wadau wote wanaosaidia kupambana na ukatili dhidi ya watoto likiwemo Jeshi la Polisi, Mahakama na Taasisi zinazojihusisha na uboreshaji wa huduma za Madawati ya Jinsia kwa kudhibiti ukatili dhidi ya watoto wadogo.
Add a commentRead more: “TATIZO LA UKATILI LINAATHIRI MAENDELEO YA TAIFA”-Dkt. Gwajima
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.