Siku moja baada ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kutangaza kujiuzulu, Bunge limetangaza kusitisha shughuli zake zote mpaka atakapopatikana spika mpya Februari mosi mwaka huu.
Add a commentKamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Kamishina Msaidizi wa Polisi ACP. Justine Masejo leo Desemba 28.2021 ametoa taarifa juu ya tukio la mauaji ya marehemu Ruth Mmasi lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita mwaka huu 2021 huko maeneo ya Njiro katika halmashauri ya jiji la Arusha.
Add a commentRead more: UCHUNGUZI KUENDELEA DHIDI YA MAUAJI YA MFANYABIASHARA MADINI RUTH MMASI.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima ameanzisha utekelezaji wa mfumo wa kukusanya maoni toka kwa watendaji wa taasisi anazosimamia kuanzia makao makuu ya wizara idara zote mbili ya afya na maendeleo ya jamii.
Add a commentRead more: WATENDAJI TAASISI ZA AFYA WAANZISHIWA MFUMO WA KUTOA MAONI.
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa wa Tanzania Bara 5704.
Read more: WAFUNGWA 5704 KUACHIWA, RPC MULIRO ATAKIWA KUMTAFUTA ASKOFU MWINGIRA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakandarasi na Taasisi nyingine za sekta binafsi kuzingatia weledi, maadili na uaminifu katika majukumu yao ili wanapotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo iweze kuleta tija kwenye maisha ya Watanzania.
Add a commentRead more: “WAKANDARASI NA SEKTA BINAFSI KUWENI WAAMINIFU”-Waziri Mkuu.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amewataka madiwani kuipa kipaumbele zaidi ajenda ya ujenzi na uboreshaji wa miundo mbinu ya viwanja vya michezo katika halimashauri zao, akisistiza kuwa michezo ni kipaumbele kikubwa kwa jamii, kama ilivyo kwa vipaumbele vingine.
Add a commentRead more: MADIWANI WAASWA KUTOA THAMANI KWA MIUNDOMBINU YA MICHEZO.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa jumla ya vikwazo 46 vya biashara kati ya 64 vilivyokuwepo.
Add a commentRead more: VIKWAZO 46 VYA KIBIASHARA BAINA YA KENYA TANZANIA VYAONDOLEWA.
Wizara ya afya nchini imefunga mashine nyingine kubwa na ya kisasa kwa ajili ya kupima kipimo cha haraka cha UVIKO-19 kwa wasafiri wanaoenda nchi za Falme za Kiarabu ikiwemo Dubai.
Add a commentRead more: WANAOTOKA TANZANIA KWENDA DUBAI WATAKIWA KUPIMA MARA MBILI KABLA YA SAFARI.
Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kushirikiana na wataalam kutoka mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili wametoa mafunzo kwa takriban Waandishi wa Habari 25 kutoka vyombo mbalimbali nchini ambavyo ni TV, Redio, pamoja na Magazeti.
Add a commentRead more: MAFUNZO YA UHIFADHI MALIASILI KWA WAANDISHI KUSAIDIA KUENDELEZA URITHI ULIOPO.
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.