Star Tv

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka 2021/22 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2022/23.

Add a comment

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa ujumla pia ni tegemeo la mapato ya fedha za ndani na za nje ya nchi.. Tanzania inazo Kanda Kuu Saba (7) za Kilimo za Kiikolojia zenye kuwezesha uzalishaji wa mazao ya aina mbalimbali. Kanda hizo ni Kanda ya Kati, kanda ya Ziwa, Kaskazini, Mashariki, Magharibi, Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Kusini. Ili kuzalisha mazao kwa tija na kwa gharama nafuu.

kwa muda mrefu tija katika uzalishaji wa mazao hayo imekuwa ndogo kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na teknolojia katika uzalishaji wa mazao . Aidha, gharama za uzalishaji wa mazao kuwa kubwa na hata wakati miundombinu mingine inapohitajika. Katika suala la kilimo, teknolojia pia inaendana na wakati, kilimo kikiwa ndio uti wa mgongo wa Tanzania. Kuwepo na teknolojia katika kilimo kunawezesha kuwepo na tija kubwa hasa katika upatikanaji wa mazao kwa wakati bila kuwa na upungufu wa mazao.

Add a comment

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum cha kufanya ufuatiliaji wa magonjwa hasa ya mlipuko ili kuyapatia udhibiti wa uharaka zaidi.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Serikali ya Marekani kufanya marejeo ya mkataba wa Mpango wa Ukuzaji Fursa za Kiuchumi Afrika (African Growth and Opportunity Act - AGOA) na kuuhuisha hadi mwaka 2030.

Add a comment

Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama kwa makundi ya vijana katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Add a comment

MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mariam Mwinyi ameiasa jamii kujitahidi kuongeza ibada mbalimbali ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kutoa sadaka kwa wingi hasa kuwafikia watu wenye mahitaji maalumu wakiwemo wazee, watotoyatima, wenyeulemavu na masikini ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu (S.W).

Add a comment

Mkuu wa Jeshi ka Zimamoto na Uokoaji Kamishna Jenerali John Masunga amesema tayari wametekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kijana aliyesaidia katika shughuli za uokoaji kwenye ajali ya ndege ya shirika la presicion iliyotokea Novemba 06, 2022 wilayani Bukoba mkoani Kagera kwamba tayari wameshampokea Majaliwa Jackson Samweli kwa ajili ya kuanza mafunzo.

Add a comment

 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa usambazaji maji kwa wananchi na kuagiza zoezi hilo pamoja na uchimbaji wa visima katika maeneo mbalimbali liwe endelevu.

Add a comment

Kesi ya Uhujumu Uchumi namba 2 ya mwaka 2022 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ukiongozwa na Wakili Suzan Kimaro uliiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi chini ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Salome Mshasha kuwa upelelezi wa kesi hiyo tayari ulikuwa umekamilika na kuomba tarehe nyingine kwa ajili ya kuwasilisha vibali maalumu kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP.

Add a comment

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.