Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewahakikishia watanzania wanaoishi nje ya Tanzania kwamba serikali inatambua mchango wao katika ujenzi wa taifa na hivyo itaendelea kutatua changamoto zote zinazokwamisha wao kuwekeza nchini Tanzania.
Add a commentRead more: SERIKALI YATAMBUA MCHANGO WA WATANZANIA WANAOISHI NJE YA NCHI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuboresha uhusiano wa kimataifa ili kuchochea uwekezaji na kukuza uchumi wa nchi.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea mazoezi ya timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania (Taifa Stars) na amewaeleza wachezaji kwamba Watanzania wanamatarajio makubwa kwamba timu yao itafuzu na kushiriki kombe la Dunia litakalofanyika, Qatar 2022.
Add a commentRead more: “WATANZANIA WANA MATARAJIO MAKUBWA NA TAIFA STARS”.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku tatu kuanzia leo Jumatatu Novemba 15, 2021 kwa wasimamizi wa Bonde la Mto Ruvu wafuatilie njia zote za kuingiza maji katika mto huo ambazo zimechepushwa ziwe wazi ili maji yaweze kuingia na kupunguza changamoto ya upungufu wa maji.
Add a commentWaziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara yake tayari imetangaza zabuni ya kimataifa, ya usanifu wa viwanja viwili vya kisasa mahususi kwa ajili ya michezo ya ndani (sports and arts arena), katika jiji la Dar es Salaam na Dodoma.
Add a commentRead more: 'SPORTS AND ARTS ARENA' KUJENGWA DAR ES SALAAM NA DODOMA.
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ameipongeza Jumuiya ya Kihindu nchini kutokana na mchango mkubwa inaoutoa kwenye jamii hususan katika utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu, maji, michezo na huduma za kiroho ambazo zimekuwa chachu kwa mshikamano na umoja.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania pamoja na wadau wa soka nchini kuungana kwa pamoja na kuhakikisha timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa Miguu (Taifa Stars) inafanya vizuri kwenye michezo yote iliyobaki ili kufuzu kushiriki kombe la Dunia litakalofanyika nchini Qatar 2022.
Add a commentRead more: BIL.1.6 KUCHAGIZA TAIFA STARS KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amekutana na wachezaji pamoja na benchi la ufundi la timu ya taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars) na kuwaeleza kuwa Taifa linawaamini na bado wana nafasi kubwa ya kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia vipaji vyao katika soka licha ya kupoteza mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Congo.
Add a commentRead more: TAIFA STARS WAPEWA BARAKA MCHEZO DHIDI YA MADAGASCAR.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza Mawaziri na Naibu Waziri wasimamie taasisi na idara zilizopo chini ya wizara zao ili zizingatie vigezo vyote vya utawala bora pamoja na kukemesha vitendo vya rushwa ambavyo ndio adui mkubwa wa utawala bora.
Add a commentRead more: “MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI KEMEENI RUSHWA”-Wazri Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.