Vijana wa Chama Cha Wananchi CUF Mkoa wa Dar es Salaam wamesema wana imani katika wagombea wote wa upinzani ambao wamepitishwa na vyama vyao kuwania nafasi ya Urais hawamuwezi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi CCM isipokuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Prof Ibrahim Lipumba.
Add a commentRead more: VIJANA CUF WATOA YA MOYONI MWAO JUU YA PROF. LIPUMBA.
Mwanasiasa wa upinzani nchini Tundu Lissu hii leo amezungumzia kuhusu hatari anayoiona mbele yake wakati huu akitarajia kurejea nchini Tanzania.
Add a commentRead more: ‘NINAREJEA HUKU HATARI DHIDI YANGU IKIWA BADO HAIJAONDOKA’-LISSU.
Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Bernard Membe ni rasmi sasa, amejiunga na chama cha upinzani ACT- Wazalendo.
Add a commentMchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kupata wagombea katika nafasi mbalimbali unaanza leo ambapo mikutano ya ngazi ya wilaya/majimbo itapiga kura za mapendekezo kati ya leo na kesho.
Add a commentRead more: MCHUJO MKALI WA KURA ZA MAONI KWA WAGOMBEA CCM WAANZA LEO.
Upande wa Jamhuri umewasilisha pingamizi la awali mahakamani kupinga maombi yaliyowasilishwa na wadhamini Ibrahim Ahmed na Robart Katula wa mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ukidai kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza na kutaka maombi hayo yatupwe.
Add a commentRead more: UPANDE WA SERIKALI WAPINGA WADHAMINI WA TUNDU LISSU KUJIONDOA.
Kwa mara ya kwanza katika historia, rais wa Gabon, Ali Bongo, amemteua mwanamke, Christiane Ossouka Raponda kuhudumu kama waziri mkuu katika serikali. Ni mwanamke wa kwanza kuteuliwa kwenye nafasi hiyo, baada ya miaka 60 baada ya uhuru wa nchi hiyo.
Add a commentRead more: MWANAMKE WA KWANZA KUSHIKILIA NAFASI YA JUU APATIKANA GABON.
Viongozi mbalimbali kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Julai 14, wamejitokeza kuchukua fomu za kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa wagombea katika majimbo mbalimbali nchini.
Add a commentRead more: VIONGOZI MBALIMBALI WAJITOSA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Myika, amesema hatagombea ubunge, katika jimbo la Kibamba jijini Dar es Salaam.
Add a commentMkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus anaonya kuwa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi iwapo mataifa mbalimbali duniani hayatachukua hatua zaidi za kukabiliana na virusi hivyo.
Add a commentRead more: WHO YAONYA SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZAIDI KUKABILIANA NA CORONA.
Vinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduk [ ... ]
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo.
Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulany [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.