Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amewaonya watendaji wanaowachia wafanyabiashara wadogowadogo maarufu machinga kurudi maeneo yaliyokatazwa.
Add a commentRead more: RC MAKALLA AWAONYA WANAOWARUHUSU MACHINGA KURUDI BARABARANI.
Waziri wa Utamaduni, Sana na Michezo Innocent Bashungwa ameonya tabia ya mashabiki wa timu kubeza timu zao pindi zinaposhindwa kufikia malengo au hatua iliyotamaniwa na mashabiki husika akisema kitendo hicho siyo cha kizalendo na kinawavunja moyo wachezaji.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuboresha uhusiano wa kimataifa ili kuchochea uwekezaji na kukuza uchumi wa nchi.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kukamilisha andiko ili kuzuia matumizi ya kamba za plastiki.
Add a commentRead more: ANDIKO LA KUZUIA MATUMIZI YA KAMBA ZA PLASTIKI KUKAMILISHWA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku tatu kuanzia leo Jumatatu Novemba 15, 2021 kwa wasimamizi wa Bonde la Mto Ruvu wafuatilie njia zote za kuingiza maji katika mto huo ambazo zimechepushwa ziwe wazi ili maji yaweze kuingia na kupunguza changamoto ya upungufu wa maji.
Add a commentMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 18 Novemba 2021 ametembelea Bandari ya nchi ya Singapore na kujionea namna inavyofanya kazi.
Add a commentWaziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ameipongeza Jumuiya ya Kihindu nchini kutokana na mchango mkubwa inaoutoa kwenye jamii hususan katika utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu, maji, michezo na huduma za kiroho ambazo zimekuwa chachu kwa mshikamano na umoja.
Add a commentMakamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewahakikishia watanzania wanaoishi nje ya Tanzania kwamba serikali inatambua mchango wao katika ujenzi wa taifa na hivyo itaendelea kutatua changamoto zote zinazokwamisha wao kuwekeza nchini Tanzania.
Add a commentRead more: SERIKALI YATAMBUA MCHANGO WA WATANZANIA WANAOISHI NJE YA NCHI.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amekutana na wachezaji pamoja na benchi la ufundi la timu ya taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars) na kuwaeleza kuwa Taifa linawaamini na bado wana nafasi kubwa ya kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia vipaji vyao katika soka licha ya kupoteza mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Congo.
Add a commentRead more: TAIFA STARS WAPEWA BARAKA MCHEZO DHIDI YA MADAGASCAR.
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.