Watu zaidi ya 236 wameugua Kipindupindu kwa kipindi cha zaidi ya Mwezi mmoja tangu Ugonjwa huo uingie katika Wilaya za Mbarali na Chunya Mkoani Mbeya na sasa umelipuka katika Wilaya ya Songwe na Momba mkoani humo.
Add a commentChama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kutambua kuwa bila kujiimarisha kiuchumi kitakuwa na wakati mgumu wa kujiendesha hasa katika kipindi hiki cha kuelekeza uchumi wa kati.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli amesema Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kufanikisha utafutaji na upatikanaji wa mafuta yaliyopo katika bonde la Eyasi Wembere na ziwa Tanganyika nchini ili Tanzania ianze kunufaika na rasilimali hiyo.
Add a commentRead more: JPM aeleza dhamira ya serikali juu ya upatikanaji wa mafuta nchini
Jumla ya wakala wa forodha 50 wanaotarajiwa kutoa mafunzo kwa mawakala wa forodha visiwani Zanzibar wamekabidhiwa vyeti vya kiwango cha Afrika mashariki cha utoaji wa huduma za uwakala mara baada ya kuhitimu mafunzo hayo yaliotolewa na wataalamu wa ITA.
Add a commentMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo amezindua rasmi zoezi la Ufyatuaji wa Matofali kwaajili ya ujenzi wa Ofisi za kisasa 402 za Walimu ambapo amewasihi Wadau na Wananchi kuunga Mkono jitiada hizo.
Add a commentRead more: Paul Makonda leo amezindua zoezi la Ufyatuaji wa Matofali
Pamoja na mikoa ya kanda ya Kaskazini kuwa na utajiri wa mifugo hususan Ng’ombe, inaelezwa kuwa kuna idadi ndogo ya wafugaji wanaotumia kinyesi cha mifugo hiyo kama nishati mbadala, yaani BIOGAS.
Add a commentZimeibuka fujo kubwa katika eneo la Jangwanii kufuatia zoezi la bomoabomoa linaloendelea. Inaelezwa kuna kundi kubwa la vijana wanaosadikiwa kuwa ni miongoni mwa makundi ya wahuni wakiwa na chupa, visu na mapanga wamefunga kamba eneo lao na wamesikika wakisema wasiguse polisi.
Add a commentRead more: Wakazi Wa Jangwani Wapambana Na Polisi Kuzuia Bomoabomoa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kwa kuongeza idadi ya Wizara, kuteua Mawaziri na Manaibu Waziri wapya na kuwahamisha Wizara baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.