Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amesema kuwa Tanzania imejiandaa kukabiliana na tishio la wimbi la nne ambalo limegundulika kuwepo kwa anuwai mpya ya kirusi kinachotambulika kwa jina la OMICRON.
Add a commentRead more: DKT. GWAJIMA ATOA TAHADHARI YA KIRUSI KIPYA CHA CORONA.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amesema Serikali itatenda haki katika mchakato wa kuwapata washindi wa tuzo za filamu kwa mwaka 2021.
Add a commentRead more: SERIKALI KUTENDA HAKI KUPATA WASHINDI TUZO YA FILAMU 2021.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amewaonya watendaji wanaowachia wafanyabiashara wadogowadogo maarufu machinga kurudi maeneo yaliyokatazwa.
Add a commentRead more: RC MAKALLA AWAONYA WANAOWARUHUSU MACHINGA KURUDI BARABARANI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 29, 2021 ametembelea kiwanda cha kuchenjua madini cha ‘Giant Elution’ kilichopo Chunya Mkoani Mbeya.
Add a commentRead more: “WATANZANIA WEKEZENI KATIKA SEKTA YA MADINI”-Waziri Mkuu.
Waziri wa Utamaduni, Sana na Michezo Innocent Bashungwa ameonya tabia ya mashabiki wa timu kubeza timu zao pindi zinaposhindwa kufikia malengo au hatua iliyotamaniwa na mashabiki husika akisema kitendo hicho siyo cha kizalendo na kinawavunja moyo wachezaji.
Add a commentSerikali imesema inatekeleza mradi wa ujenzi wa majengo mapya ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida ambapo tayari imeshatoa shilingi Bilioni 5.9 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa jengo kubwa la ghorofa tatu.
Add a commentRead more: SHIL. BIL. 5.9 KUENDELEZA UJENZI MAJENGO YA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kukamilisha andiko ili kuzuia matumizi ya kamba za plastiki.
Add a commentRead more: ANDIKO LA KUZUIA MATUMIZI YA KAMBA ZA PLASTIKI KUKAMILISHWA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza wizara zote zenye dhamana ya ukuzaji ajira kuhakikisha zinaandaa programu na mikakati bora ya ukuzaji ajira ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wadau wote nchini washiriki katika utekelezaji wake ili kukabiliana na changamoto za ukosefu wa ajira.
Add a commentMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 18 Novemba 2021 ametembelea Bandari ya nchi ya Singapore na kujionea namna inavyofanya kazi.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.