Wizara ya Afya nchini Kenya imetoa taarifa ya nchi hiyo kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambapo mpaka sasa watu 13 wakiwemo watoto wenye umri chini ya miaka 10 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo.
Add a commentWizara ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya wa corona 28, na wagonjwa hao ni waliopimwa ndani ya saa 24.
Add a commentKenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa ya leo Aprili 01,Mei,2020.
Add a commentIdadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 672 baada ya wagonjwa wapya 23 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.
Add a commentSerikali ya Kenya imetangaza kuwa itaanza kufungua hoteli zake kwa kuzingatia masharti ya kuwapima wahudumu wa afya na ikiwa hawatakuwa na maambukizi ya virusi vya Corona ndio wataweza kuhudumu kwenye hoteli hizo.
Add a commentWizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa idadi ya wagonjwa wa corona nchini humo imefikia 101 kutoka wagonjwa 100.
Add a commentWizara ya afya nchini Uganda imetangaza wagonjwa wanne wapya wa virusi vya corona na kufanya idadi ya walioathirika na ugonjwa huo kufikia 79.
Add a commentKenya imerekodi viwango vya juu vya maambukizi ya virusi vya corona kwa siku baada ya wagonjwa wapya 45 kuthibitishwa leo na kufikisha idadi ya watu 535 waliopatikana na ugonjwa wa Covid -19.
Add a commentWizara ya Afya nchini Uganda imethibithisha kuwa watu wenye maambukizi ya Virusi vya Corona nchini humo wamefikia 74 baada ya watu 11 kupimwa na kubainika wameambukizwa virusi hivyo.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.