Wizara ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la wagonjwa 15 wapya waliothibitishwa kuwa na virusi vya corona na kufanya wagonjwa waliopata maambukizi ya Corona nchini humo kufikia 296.
Add a commentWizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa COVID-19, ambapo mgonjwa huyo mmoja wa Corona aliyetangazwa leo anaongeza idadi ya walioambukizwa ugonjwa huo nchini humo kufikia 56.
Add a commentWizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona na kuongeza idadi ya wagonjwa kufikia kuwa na visa saba vya homa ya corona, idadi ambayo ni kubwa zaidi kuliko iliyotangazwa katika mataifa ya jirani ya Afrika Mashariki.
Add a commentIdadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 281 baada ya visa vingine 11 kuthibitishwa leo Jumatatu.
Add a commentSerikali ya Rwanda imethibitisha visa vingine vinne vya maambukizi ya Corona na kufikisha idadi ya watu walioambukizwa kufikia watano, hali ambayo inawatia hofu raia wa Rwanda.
Add a commentWaziri wa Usafirishaji wa Kenya James Macharia amesema wanatarajia kutuma ndege ya Kenya Airways nchini China siku ya Jumatano kwa ajili ya kuchukua vifaa vya kupambana na ambavyo vitatumika kuzuia kuenea kwa maambukizi ya Corona ugonjwa.
Add a commentRais wa Kenya Uhuru Kenyatta amethibitisha kisa cha tatu cha maambukizi ya virusi vya corona hapo jana Machi 15, 2020 na kuamuru shule zote nchini humo zifungwe.
Add a commentRais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza masharti zaidi ya kukabiliana na kuenea kwa virusi vya corona wiki mbili baada ya kupiga marufuku usafiri wa Umma.
Add a commentWaziri wa afya nchini Kenya Mutahi Kagwe amethibitisha kisa cha mtu mmoja kutoka nchini humo kuugua ugonjwa wa Corona katika tangazo alilolitoa moja kwa moja kupitia vyombo vya habari.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.