Star Tv

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema kuwa bado hajaona mtu mwenye uwezo wa kuiongoza Uganda kwa sasa, hivyo ataendelea kuwa madarakani.

Add a comment

Serikali ya Somalia imekatisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Kenya.

Add a comment

Pembe la Afrika bado linakabiliwa na uvamizi wa nzige wa jangwani.

Add a comment

Jeshi la Kenya Defence Forces (KDF) limendelea kuwa na umaarufu wake katika Bara la Afrika kutokana na mafunzo na ushirikiano na nchi kama Israel, Marekani na Uingereza.

Add a comment

Chama cha wanasheria nchini Kenya pamoja na makundi kadhaa ya kupigania haki na demokrasia, yamemtaka rais Uhuru Kenyatta hadi kufikia tarehe 12 ya mwezi huu wa Octoba awe amelivunja bunge kwa kuzingatia ushauri wa Jaji Mkuu David Maraga.

Add a comment

Ofisi ya chama cha mgombea wa Urais nchini Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi imevamiwa na makumi ya wanajeshi wenye silaha pamoja na maafisa wa polisi.

Add a comment

Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga, amemshauri rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta, kulivunja bunge la kitaifa na lile la Seneti, baada ya wabunge kushindwa kupitisha sheria ya jinsia kuhusu theluthi mbili.

Add a comment

Rwanda imehalalisha kisheria ukulima na mauzo ya nje ya nchi ya mmea wa bangi kwa ajili ya matumizi ya tiba ili kupata fedha.

Add a comment

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza kuwa shule na taasisi zingine za elimu ya juu, zitafunguliwa tena kuanzia mwezi ujao.

Add a comment

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.