Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema kuwa bado hajaona mtu mwenye uwezo wa kuiongoza Uganda kwa sasa, hivyo ataendelea kuwa madarakani.
Add a commentSerikali ya Somalia imekatisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi ya Kenya.
Add a commentPembe la Afrika bado linakabiliwa na uvamizi wa nzige wa jangwani.
Add a commentJeshi la Kenya Defence Forces (KDF) limendelea kuwa na umaarufu wake katika Bara la Afrika kutokana na mafunzo na ushirikiano na nchi kama Israel, Marekani na Uingereza.
Add a commentChama cha wanasheria nchini Kenya pamoja na makundi kadhaa ya kupigania haki na demokrasia, yamemtaka rais Uhuru Kenyatta hadi kufikia tarehe 12 ya mwezi huu wa Octoba awe amelivunja bunge kwa kuzingatia ushauri wa Jaji Mkuu David Maraga.
Add a commentOfisi ya chama cha mgombea wa Urais nchini Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi imevamiwa na makumi ya wanajeshi wenye silaha pamoja na maafisa wa polisi.
Add a commentJaji Mkuu wa Kenya David Maraga, amemshauri rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta, kulivunja bunge la kitaifa na lile la Seneti, baada ya wabunge kushindwa kupitisha sheria ya jinsia kuhusu theluthi mbili.
Add a commentRwanda imehalalisha kisheria ukulima na mauzo ya nje ya nchi ya mmea wa bangi kwa ajili ya matumizi ya tiba ili kupata fedha.
Add a commentRais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza kuwa shule na taasisi zingine za elimu ya juu, zitafunguliwa tena kuanzia mwezi ujao.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.