Star Tv

Kampuni ya ndege ya Rwanda, Rwandair imesitisha kwa muda safari zake katika mataifa ya Afrika Kusini, Zimbabwe na Zambia.

Add a comment

Watu 32 wamethibitishwa kufariki kwenye ajali ya gari nchini Uganda iliyotokea usiku wa kuamukia leo katika wilaya ya Kasese.

Add a comment

Rwanda imetoa agizo la kufunga tena shule zote za umma kuanzia Januari 18, 2021 leo Jumatatu.

Add a comment

Taifa la Rwanda limesema linasubiri kupata ufafanuzi kuhusu sababu ya Uingereza kuchukua hatua ya kuiwekea marufuku ya wageni wanaosafiri au kupitia nchini Rwanda kuingia Uingereza.

Add a comment

Rais wa muda mrefu nchini Uganda Yoweri Museveni jana Jumamosi ameonya kuwa vikosi vya usalama vitatumia nguvu kuzima juhudi zozote za kuzua ghasia baada ya kuchaguliwa kwake tena.

Add a comment

Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo anaanza safari ya kutoka kijijini kwao akielekea mji wa Kampala ambapo atakuwa anasimama katika vituo kadhaa kwenye miji mbalimbali kutoa shukrani kwa wananchi.

Add a comment

Yoweri Museveni ametangazwa kuwa rais mteule wa Uganda baada ya kupata ushindi wa kura asilimia 58.64.

Add a comment

Kenya inatarajia kupokea dozi milioni 24 za chanjo ya ugonjwa corona iliyotengenezwa na kapuni ya Astrazeneca na chuo kikuu cha Oxford mwezi ujao, kulingana na shirika la habari la Reuters.

Add a comment

Mgombea wa urais nchini Uganda, Bobi Wine amepinga matokeo ya uchaguzi ambayo yametangazwa hadi sasa na kujitaja binafsi kama rais mteule, licha ya tume ya uchaguzi kusema kuwa sio kura zote zilizokwisha hesabiwa.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.