Star Tv

Mbunge mteule nchini Kenya, Didmas Barasa, amejisalimisha kwa polisi baada ya kutafutwa kwa siku tatu kutokana na tukio la kufyatua risasi na kumuua msaidizi wa mpinzani.

Polisi wanamchukulia Barasa kama mshukiwa wa kisa cha mauaji kilichotokea katika kituo cha kupigia kura siku ya kupiga kura nchini humo.

Polisi wamesema kwa sasa anasaidia mamlaka katika uchunguzi wa tukio hilo.

Aidha Wakili wa mbunge huyo mteule alituma maombi ya dhamana siku ya Alhamisi akisubiri kukamatwa kwake.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.