Star Tv

Waziri wa elimu nchini Kenya George Magoha amewakumbusha walimu kwamba adhabu ya viboko imesalia kuwa marufuku katika shule za nchini humo.

Add a comment

Mpiga mbizi ambaye amekuwa akisaidia kuopoa maiti kutoka Mto Yala magharibi mwa Kenya amejificha baada ya kutishiwa maisha yake, shirika la kutetea haki za binadamu linasema.

Add a comment

Rais wa Shirikisho la Soka la Kenya Nick Mwendwa amekamatwa na maafisa wa polisi nchini humo.

Add a comment

Wasafiri kutoka Dubai wataruhusiwa kuingia nchini Kenya kuanzia leo baada ya nchi hiyo kuondoa marufuku iliyokuwa imeweka kwa ndege zote zinazoingia na za abiria kutoka taifa hilo la Mashariki ya Kati wiki mbili zilizopita.

Add a comment

Moto umechoma upande mmoja wa soko la Gikomba jijini Nairobi na kuharibu mali ya thamani isiojulikana mapema Jumatatu.

Add a comment

Maafisa wa Kenya wamethibitisha mlipuko wa homa ya virusi vya mafua aina ya Influenza nchini humo.

Add a comment

Wanafunzi wawili wa Shule ya sekondari ya Wasichana ya Buruburu nchini Kenya wamefikishwa mahakamani leo Jumatatu kuhusiana na kisa cha moto katika shule hiyo kilichotokea wiki iliyopita na kusababisha wanafunzi 59 kulazwa hospitalini.

Add a comment

Rwanda na Kenya zimeanza kutoa chanjo kwa watoto ambapo wamebainisha kuwa sasa watoto nchini mwao wanastahili kupokea chanjo ya Pfizer huku nchi zote mbili zikianzisha kampeni za chanjo kwa rika hilo.

Add a comment

Zaidi ya watu 14 wanadaiwa kuuawa na wengine watano kujeruhiwa katika vita vya ufyatulianaji wa risasi vilivyochukua takriban saa 12 kati ya wafugaji na washukiwa wa ujambazi katika eneo la Suiyan, kaunti ya Samburu nchini Kenya.

Add a comment

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.