Jeshi la Uganda limezindua gari la kivita lililoundwa nchini humo.
Add a commentMpenzi wa mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop, amefikishwa mahakamani kama mshukiwa wa mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop.
Add a commentChama cha wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS) chini ya mkurugenzi Mtendaji Wakili David Sigano kwa kushirikiana na baraza la habari Tanzania (MCT) waandaa mafunzo kwa waandishi wa habari.
Add a commentBodi ya Filamu Kenya inasema kuwa filamu kuhusu maisha ya wanandoa wa jinsia nchini Kenya imepigwa marufuku nchini humo.
Add a commentMahakama nchini Kenya imemuachilia huru mshukiwa wa mauaji Philip Onyancha kutokana na kutokuwepo kwa ushahidi wa kutosha.
Add a commentMwanasiasa wa upinzani nchini Rwanda ambaye ni mwalimu wa chuo kikuu Christopher Kayumba ameshikiliwa kwa madai ya ubakaji.
Add a commentPolisi nchini Uganda imewawakamata watu wanne wanaoshukiwa kuhusika kwenye tukio la kushambuliwa kwa Waziri wa Kazi na Uchukuzi nchini humo, Katumba Wamala.
Add a commentNaibu wa Rais nchini Kenya William Ruto amemjibu waziri wa msuala ya ndani nchini Kenya Fred Matiangi kufuatia matamshi yake mbele ya kamati moja ya bunge siku ya Jumatano.
Add a comment
Ofisi ya upelelezi ya Rwanda (RIB) imethibitisha kuwa inamshikilia Mkuu wa makasisi wa Kanisa katoliki Parokia ya Rwamagana nchini humo, Jean-Marie Telesphore Ingabire, ambaye anashukiwa kusaidia katika madai ya wizi na kuficha ushahidi.
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.