Star Tv

Idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola inaendelea kuongezeka nchini Uganda.

Wizara ya afya imesema kumekuwa na wagonjwa 34 wanaoshukiwa kuambukizwa.

Inaaminika kuwa vifo 21 huenda vilisababishwa na virusi vya Ebola.

Timu za afya nchini humo zinaendelea kufuatilia watu ambao wanaweza kuwa wamekutana nao.

Mlipuko huo ulianza katika wilaya ya kati ya Mubende lakini sasa umeenea katika wilaya mbili jirani.

Bado hakuna kesi zilizothibitishwa katika mji mkuu Kampala.

Huu ni mlipuko wa nne wa Ebolanchi ya Uganda kukabiliwa nao huku nchi jirani zikisema ziko katika hali ya tahadhari.

#ChanzoBBC

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.