Star Tv

Tume ya Mawasiliano ya Uganda ilitangaza wiki iliyopita ikieleza kuwa kuanzia sasa mtu yeyote anayechapisha maudhui mtandaoni atalazimika kujiandikisha kabla ya Oktoba 5,2020.

Add a comment

Mbunge mmoja wa Kenya amekamatwa kufuatia matamshi aliyotoa dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wikendi iliyopita, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.

Add a comment

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameondoa masharti ya usafiri wa kuingia na kutoka katika miji ya Nairobi, Mombasa na Mandera kaskazini mwa nchi.

Add a comment

Mwanasiasa mkongwe wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye, ambaye amewahi kuwania urais mara nne, ametangaza kuwa hatawania tena wadhifa huo wakati wa Uchaguzi Mkuu mapema mwaka 2021.

Add a comment

Rais Uhuru Kenyatta ameutaja ushindi wa Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa baada ya kushinda Djibouti katika duru ya pili ya uchaguzi Alhamisi ni ushindi uliotukuka kwa kuonyesha baraza la Afrika nalo linaweza ungana na mataifa mengine makubwa ulimwengu kushiriki mambo duniani.

Add a comment

Muungano wa wanahabari nchini Burundi, umetoa wito kwa rais Évariste Ndayishimiye kuwasamehe wanahabari wanne wa Gazeti binafsi la Iwacu, waliofungwa jela kwa kosa la kutishia usalama wa nchi hiyo.

Add a comment

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameelezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko la idadi ya watu walioambukuzwa virusi vya corona katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

Add a comment

Serikali imetangaza kuanzia tarehe 01 hadi 08 Agosti, 2020 kutafanyika maadhimisho ya sikukuu ya wakulima Nanenane ambapo kitaifa yatafanyika katika viwanja vya Nyakabindi, Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu.

Add a comment

Rais Uhuru Kenyatta ametangaza mipango ya kusaidia biashara na raia wa Kenya kusonga mbele katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi kwasababu ya janga la virusi vya corona.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.