Star Tv

Mkuu wa Jeshi ka Zimamoto na Uokoaji Kamishna Jenerali John Masunga amesema tayari wametekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kijana aliyesaidia katika shughuli za uokoaji kwenye ajali ya ndege ya shirika la presicion iliyotokea Novemba 06, 2022 wilayani Bukoba mkoani Kagera kwamba tayari wameshampokea Majaliwa Jackson Samweli kwa ajili ya kuanza mafunzo.

Masunga amesema kijana huyo anatarajiwa kuanza mafunzo ya Zimamoto na uokoaji pamoja na uaskari katika Chuo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kilichopo Chogo wilayani Handeni mkoani Tanga.

Aidha Masunga ametoa wito kwa wananchi wote kuendelea kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika kuokoa maisha ya watu na mali dhidi ya majanga mbalimbali.

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.