Star Tv

Mkuu wa Jeshi ka Zimamoto na Uokoaji Kamishna Jenerali John Masunga amesema tayari wametekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kijana aliyesaidia katika shughuli za uokoaji kwenye ajali ya ndege ya shirika la presicion iliyotokea Novemba 06, 2022 wilayani Bukoba mkoani Kagera kwamba tayari wameshampokea Majaliwa Jackson Samweli kwa ajili ya kuanza mafunzo.

Masunga amesema kijana huyo anatarajiwa kuanza mafunzo ya Zimamoto na uokoaji pamoja na uaskari katika Chuo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kilichopo Chogo wilayani Handeni mkoani Tanga.

Aidha Masunga ametoa wito kwa wananchi wote kuendelea kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika kuokoa maisha ya watu na mali dhidi ya majanga mbalimbali.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.