Star Tv

Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama kwa makundi ya vijana katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama, ni moja ya changamoto inayatajwa kuwakabili vijana wengi wakike katika Halmashauri ya ya Jiji la Mbeya hayo yakibainishwa na mratibu wa afya ya uzazi wa mama na mtoto idara ya afya Jiji la Mbeya Akwina Mtweve; 'Amesema kutokana na elimu wanayoitoa mara kwa mara imesaidia kupunguza hali hiyo. Huku Shirika la Jhpiego kupitia mradi wake wa 'The challenge initiative TCI',kwa kushirikiana na serikali ndiyo wanatekeleza mpango huo wa kutoe elimu kwa makundi mbalimbali, akifafanua mratibu wa TCI mkoa wa Mbeya bwana, Waziri Njau. Huku lengo la uongozi wa Jiji la Mbeya ni kuona mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama vinakomeshwa.

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.