Mama mmoja aitwaye Neema Joseph mkazi wa kijiji cha Burungu wilaya ya Musoma Mkoani Mara ameliwa na Mamba wakati akioga ndani ya Ziwa Victoria majira ya saa nne usiku katika ufukwe wa Bulungu.
Habari na Sadick Hunga ...
Add a commentRead more: KUOGA MWALONI: Mkazi wa Burungu wilayani Musoma aliwa na Mamba
Serikali inakusudia kuzifuta ofisi za ardhi za kanda na kuanzisha ofisi za mikoa ambazo zitashughulikia masuala yote ya ardhi ili kuondoa urasimu na kusogeza huduma karibu na wananchi.
Habari na Laudence Simkonda.
Add a commentRead more: KUONDOA URASIMU KATIKA ARDHI:Serikali yakusudia kuanzisha ofisi za mikoa.
Mamlaka ya wanyamapori wilayani Serengeti imelazimika kumuua kwa risasi mnyama aina ya chui baada juhudi za kumrejesha kwenye hifadhi kugonga mwamba ambapo inadaiwa chui huyo alivamia makazi ya watu katika Kijiji cha Bisarara mapema siku ya Jumanne na kusababisha madhara ikiwemo kuua mifugo na kujeruhi watu sita.
Add a commentRead more: CHUI ALIYEVAMIA MAKAZI YA WATU SERENGETI : Mamlaka ya wanyamapori yamuua kwa risasi.
Mawakala inayotekeleza zoezi la usajili wa laini za simu kwa alama za vidole mkoani Njombe wameitupia lawama mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA kwa kuchelewa kukamilisha zoezi hilo kwa wakati.
Habari na Dickson Kanyika.
Add a commentRead more: TAMATI USAJILI LAINI ZA SIMU KWA ALAMA ZA VIDOLE:Mawakala, Wananchi waitupia lawama NIDA.
Kiongozi wa Harakati la Sadr nchini Iraq ametoa wito kwa wananchi kufanya maandamano ya watu wasiopungua milioni moja ya kulaani kuwepo kijeshi Marekani nchini humo.
Add a commentAliyewahi kuwa katibu wa baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mzee Samuel Kasori amesikitishwa na hatua ya serikali ya kukitelekeza chuo cha utafiti wa kilimo na mifugo Uyole jijini Mbeya, ambacho kilianzishwa na mwalimu Nyerere kwa misingi maalumu ya kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo nchini.
Add a commentRead more: KUTELEKEZWA KWA CHUO CHA UTAFITI UYOLE-Katibu wa Nyerere aishangaa serikali.
Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi wahandisi wote wa Maji Wilaya ya Busega RUWASSA wanaosimamia mradi wa maji Lamadi na kuagiza wapangiwe kazi nyingine, huku akiwaweka ndani watu wanne, wakiwemo wahandisi wawili washauri wa mradi, kutokana na kushindwa kutimiza majukumu yao ipasavyo katika usimamizi wa mradi wa maji Lamadi unaojengwa na serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 12.8.
Add a commentRead more: Utendaji mbovu wa mradi wa maji : Wahandisi wanne simiyu watiwa mbaroni.
Naibu wa Waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya Makazi Angelina Mabula amesema wakulima wanapaswa kupimiwa maeneo yao ili kutokemeza migogoro ya ardhi nchini kwakuwa wataweza kujipatia hati miliki ya ardhi zao.
Add a commentMwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP Augustino Mrema ameitaka Serikali kumlipa Shilingi bilioni mbili kama fidia ya kesi alizowahi kushtakiwa chini ya serikali ya awamu ya tatu iliyokuwa inaongozwa na Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Add a commentRead more: Misukosuko ya kushitakiwa mahakamani: Mrema aitaka serikali kumlipa Sh. Bil. 2
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.