Star Tv

Waziri wa maji Profesa Makame Mbarawa amesema taifa haliwezi kupiga hatua kiuchumi endapo sekta ya maji haitopewa mkazo kwa kuwa sekta hiyo ndiyo inaunganisha sekta zote muhimu na ametoa wito kwa wadau wa maji kuhakikisha wanalinda vyanzo vya maji ili kuendana na kasi ya sasa ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.

Taarifa na Adam Damian

Add a comment

Anguko la baadhi ya benki nchini limetajwa kusababishwa na masharti magumu ya uendeshaji wa taasisi za kifedha yaliyowekwa na benki kuu “BoT” likiwemo sharti la kianzio cha mtaji linalodaiwa kuzipa wakati mgumu benki za wananchi kupata leseni ya kufanya kazi.

 Taarifa na Oliver Motto:-

Add a comment

Tanzania imesema itaiunga mkono Kenya katika nafasi ya Kiti na Mjumbe asiye wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kipindi cha mwaka 2021/2022 ikiwa ni sehemu ya ushirikiano katika masuala mbalimbali baina ya nchi hizo mbili.

Add a comment

Wakazi wa kijiji cha Pemba wilayani Mvomero Mkoani Morogoro wamewataka viongozi wakiwemo Mbunge na Diwani kujitathimini kutokana na viongozi hao kutajwa kushindwa kutatua tatizo sugu  la ubovu wa barabara ambayo ni kikwazo cha kusafirisha mazao yao na kufanya  kuozea mashambani.

Add a comment

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amelipongeza bunge kwa kupitisha sheria ya madini inayoelezea mali kama madini kuwa ni mali ya watanzania .

Add a comment

Kamati ya kudumu ya bunge ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi,kifua kikuu na dawa za kulevya  inatarajiwa kufanya kikao Maalum Jijini Mwanza cha kutangaza azimio la viongozi wa dini katika kupambana na maambukizi ya ugonjwa Kifua Kikuu Nchini.

 Taarifa Hii na Mwanahabari wetu Sudi Shaban..

Add a comment

Kesi ya jinai inayomkabili mwalimu Focus Mbilinyi dhidi ya Jamhuri kwa tuhuma za Kumpiga mwanafunzi na kumsababishia ulemavu imeendelea kusikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Njombe  ambapo mashahidi wawili wa upande wa jamhuri walifika mahakamani hapo kuwasilisha ushahidi wao.

Taarifa zaidi na Dickson Kanyika Kutoka njombe.

Add a comment

Imeelezwa kuwa maabara ya mkemia mkuu wa serikali inakabiliwa na changamoto ya matengenezo kinga hali inayosababishwa na kutokuwa na wataalamu wenye mikataba funganishi.

 Taarifa na Piensia Rugarabamu.

Add a comment

Wizara ya Maliasili na Utalii imekemea tabia ya uvamizi kwa baadhi ya wakazi wanaozunguka hifadhi za taifa ,mashamba ya miti na Mapori ya akiba ambapo wanadaiwa kufanya uharibifu na hivyo kutishia ustawi wa Rasilimali hizo.

Taarifa na Sudi Shabani.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.