Waziri wa maji Profesa Makame Mbarawa amesema taifa haliwezi kupiga hatua kiuchumi endapo sekta ya maji haitopewa mkazo kwa kuwa sekta hiyo ndiyo inaunganisha sekta zote muhimu na ametoa wito kwa wadau wa maji kuhakikisha wanalinda vyanzo vya maji ili kuendana na kasi ya sasa ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Taarifa na Adam Damian
Add a commentRead more: Sekta ya maji: Jamii yatakiwa kulinda vyanzo vya maji,
Anguko la baadhi ya benki nchini limetajwa kusababishwa na masharti magumu ya uendeshaji wa taasisi za kifedha yaliyowekwa na benki kuu “BoT” likiwemo sharti la kianzio cha mtaji linalodaiwa kuzipa wakati mgumu benki za wananchi kupata leseni ya kufanya kazi.
Taarifa na Oliver Motto:-
Add a commentRead more: Anguko la baadhi ya benki: Chanzo masharti magumu ya uendeshaji taasisi za kifedha
Tanzania imesema itaiunga mkono Kenya katika nafasi ya Kiti na Mjumbe asiye wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kipindi cha mwaka 2021/2022 ikiwa ni sehemu ya ushirikiano katika masuala mbalimbali baina ya nchi hizo mbili.
Add a commentRead more: Ushirikiano wa Kenya na Tanzania:Prof. Kabudi awasilisha ujumbe wa JPM kwa Uhuru Kenyata.
Wakazi wa kijiji cha Pemba wilayani Mvomero Mkoani Morogoro wamewataka viongozi wakiwemo Mbunge na Diwani kujitathimini kutokana na viongozi hao kutajwa kushindwa kutatua tatizo sugu la ubovu wa barabara ambayo ni kikwazo cha kusafirisha mazao yao na kufanya kuozea mashambani.
Add a commentRead more: UBOVU WA BARABARA MVOMERO- Wakulima washindwa kusafirisha mazao
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amelipongeza bunge kwa kupitisha sheria ya madini inayoelezea mali kama madini kuwa ni mali ya watanzania .
Add a commentRead more: Ulinzi wa rasilimali madini: Rais magufuli alipongeza bunge kupitisha sheria.
Kamati ya kudumu ya bunge ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi,kifua kikuu na dawa za kulevya inatarajiwa kufanya kikao Maalum Jijini Mwanza cha kutangaza azimio la viongozi wa dini katika kupambana na maambukizi ya ugonjwa Kifua Kikuu Nchini.
Taarifa Hii na Mwanahabari wetu Sudi Shaban..
Add a commentRead more: Kupambana na UKIMWI na kifua kikuu:Kamati ya bunge kufanya kikao maalum Mwanza.
Kesi ya jinai inayomkabili mwalimu Focus Mbilinyi dhidi ya Jamhuri kwa tuhuma za Kumpiga mwanafunzi na kumsababishia ulemavu imeendelea kusikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Njombe ambapo mashahidi wawili wa upande wa jamhuri walifika mahakamani hapo kuwasilisha ushahidi wao.
Taarifa zaidi na Dickson Kanyika Kutoka njombe.
Add a commentRead more: Tuhuma za kumsababishia ulemavu mwanafunzi:Kesi ya mwl. Mbilinyi yaendelea kusikilizwa.
Imeelezwa kuwa maabara ya mkemia mkuu wa serikali inakabiliwa na changamoto ya matengenezo kinga hali inayosababishwa na kutokuwa na wataalamu wenye mikataba funganishi.
Taarifa na Piensia Rugarabamu.
Add a commentRead more: Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali:Yataja mafanikio na changamoto miaka minne ya JPM.
Wizara ya Maliasili na Utalii imekemea tabia ya uvamizi kwa baadhi ya wakazi wanaozunguka hifadhi za taifa ,mashamba ya miti na Mapori ya akiba ambapo wanadaiwa kufanya uharibifu na hivyo kutishia ustawi wa Rasilimali hizo.
Taarifa na Sudi Shabani.
Add a commentRead more: Uvamizi katika hifadhi za taifa:Wizara yakemea vikali.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.