Serikali imewatoa hofu wakulima wa zao la pamba kuzifanyia kazi changamoto zote zilizo jitokeza msimu wa kilimo 2018/2019 ikiwa msimu huu wa kilimo 2019/2020 changamoto hizo hazitajitokeza. Taarifa na Mustapha Kapalata. Add a commentRead more: Kilimo cha pamba:Serikali yawatoa wasiwasi wakulima. Kesi ya Viongozi wa CHADEMA:Yapigwa tarehe mpaka Novemba 28, 2019.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam nchini Tanzania imeshindwa kuendelea na kesi inayowakabili viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wake ambaye ni Freeman Mbowe. Add a commentRead more: Kesi ya Viongozi wa CHADEMA:Yapigwa tarehe mpaka Novemba 28, 2019. Uhaba wa maji Namtumbo Ruvuma: Wakazi wahofia kupata magonjwa ya tumboWakazi wa kijiji cha Kitanda wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya tumbo kutokana na kunywa maji machafu yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu. Add a commentRead more: Uhaba wa maji Namtumbo Ruvuma: Wakazi wahofia kupata magonjwa ya tumbo Uchaguzi ndani ya CHADEMA:Cecil Mwambe ataka kumpumzisha uenyekiti Freeman Mbowe .Mbunge wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Cecil Mwambe amesema anagombea nafasi ya juu ya chama hicho ili kumsaidia mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe …. Add a commentRead more: Uchaguzi ndani ya CHADEMA:Cecil Mwambe ataka kumpumzisha uenyekiti Freeman Mbowe . Baada ya kujitoa uchaguzi s/mitaa: CUF yawaelekeza wanachama wakeMwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba amewataka wanachama wa chama hicho kuunganisha nguvu katika kudai uchaguzi huru na haki pamoja na tume huru ya uchaguzi. Add a commentRead more: Baada ya kujitoa uchaguzi s/mitaa: CUF yawaelekeza wanachama wake Upotevu wa zaidi ya bilioni 124 za vyama vya ushirika nchini:Uzembe, Wizi na Ubadhirifu vyachangia.Waziri wa Kilimo nchini Tanzania Josephat Hasunga amekabidhi ripoti ya uchambuzi wa ukaguzi wa vyama vya ushirika uliofanywa na Coasco katika mwaka wa fedha wa 2018/ 2019 kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Add a commentVIJANA WALIOMUUA MWALIMU MARA: Vyombo vya Dola vyaagizwa kuwasakaKamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara imeviagiza vyombo vya dola kuwasaka vijana watatu waliokimbilia nchi jirani ya Kenya baada ya kumchoma mkuki shingoni na kumuua mwalimu Justin Sospeter Ogo wa shule ya sekondari Itiryo. Add a commentRead more: VIJANA WALIOMUUA MWALIMU MARA: Vyombo vya Dola vyaagizwa kuwasaka Makusanyo ya kodi serikali ya awamu ya tano: TRA yavunja rekodiMamlaka ya Mapato Tanzania TRA imetangaza kuongezeka kwa makusanyo ya kodi ya kiasi cha shilingi trilioni 23.4 sawa na asilimia 70 tangu serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani. Taarifa na Athuman Mihula. Add a commentRead more: Makusanyo ya kodi serikali ya awamu ya tano: TRA yavunja rekodi Kuimarisha sekta ya usafiri wa anga: Serikali yawahakikishia huduma ya kimataifaSerikali imesema itahakikisha sekta ya usafiri wa anga nchini inaimarika ikiitaka mamlaka ya ufasiri wa anga nchini TCAA kuongeza uwajibikaji zaidi ili kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa ubora kama ilivyo kwenye mataifa yaliyoendelea. Add a commentRead more: Kuimarisha sekta ya usafiri wa anga: Serikali yawahakikishia huduma ya kimataifa Latest News
Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Other Articles
Social MediaCopyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved. |