Star Tv

Serikali imewatoa hofu wakulima wa zao la pamba kuzifanyia kazi changamoto zote zilizo jitokeza msimu wa kilimo 2018/2019 ikiwa msimu huu wa kilimo 2019/2020 changamoto hizo hazitajitokeza.

Taarifa na Mustapha  Kapalata.

Add a comment

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam nchini Tanzania imeshindwa kuendelea na kesi inayowakabili viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wake ambaye ni Freeman Mbowe.

Add a comment

Wakazi wa kijiji cha Kitanda wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya tumbo kutokana na kunywa maji machafu yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.

Add a comment

Mbunge wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Cecil Mwambe amesema anagombea nafasi ya juu ya chama hicho ili kumsaidia mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe ….

Add a comment

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba amewataka wanachama wa chama hicho kuunganisha nguvu katika kudai uchaguzi huru na haki pamoja na tume huru ya uchaguzi.

Add a comment

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania Josephat Hasunga amekabidhi ripoti ya uchambuzi wa ukaguzi wa vyama vya ushirika uliofanywa na Coasco katika mwaka wa fedha wa 2018/ 2019 kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

Add a comment

Kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara imeviagiza vyombo vya dola kuwasaka vijana watatu waliokimbilia nchi jirani ya Kenya baada ya kumchoma mkuki shingoni na kumuua mwalimu Justin Sospeter Ogo wa shule ya sekondari Itiryo.

Add a comment

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imetangaza kuongezeka kwa makusanyo ya kodi ya kiasi cha shilingi trilioni 23.4 sawa na asilimia 70 tangu serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani.

Taarifa na Athuman Mihula.

Add a comment

Serikali imesema itahakikisha sekta ya usafiri wa anga nchini inaimarika ikiitaka mamlaka ya ufasiri wa anga nchini TCAA kuongeza uwajibikaji zaidi ili kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa ubora kama ilivyo kwenye mataifa yaliyoendelea.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.