Wakazi wa mkoa wa Ruvuma wametakiwa kuchangamkia fursa za utamaduni zilizopo katika maeneo yao ili kuendeleza utalii kwa kuinua uchumi na kuboresha hali ya maisha ya wananchi wa eneo hilo.
Taarifa na Stellah Joseph
Add a commentRead more: MIAKA 113 YA VITA VYA MAJI MAJI: Mashujaa wapatao 67 kukumbukwa
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka kwenye chama.hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi leo February 18, 2020 ambapo amepokelewa na katibu wa itikadi na uenezi wa chama tawala cha Cha Mapinduzi Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu Lumumba Dar.
Add a commentRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amemuhakikishia Ushirikiano Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mussa Azzan Zungu ili aweze kutekeleza vyema majukumu yake hasa yale yanayohusu Muungano.
Add a commentRead more: KUSHUGHULIKIA MASUALA YA MUUNGANO:Dkt Shein amhakikishia Zungu ushirikiano.
Read more: KIONGOZI WA ACT WAZALENDO ZITTO KABWE: Mahakama ya Kisutu yamkuta na kesi ya kujibu.
Mwili wa aliyekuwa waziri wa viwanda na baishara katika serikali ya awamu ya tatu Idd Simba umezikwa Ijumaa hii jijini Dar es salaam huku baadhi ya viongozi mbalimbali wa Kisiasa na dini wakizungumzia uchapa kazi na uthubutu wake katika kuleta maendeleo wakati wa uhai wake.
Taarifa na Athuman Mihula.
Add a commentRead more: BURIANI IDDI SIMBA:Umati mkubwa wajitokeza kumzika jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohamed Shein amesisitiza umuhimu wa kutazama upya sheria zinazosimamia mwenendo wa usalama wa chakula nchini ili kuondoa malalamiko ya wafanyabiashara.
Add a commentRead more: MWENENDO WA USALAMA WA CHAKULA: Rais Shein ataka sheria simamizi kutazamwa upya
Ndole ni kijiji ambacho kipo pembezoni mwa Wilaya ya Mvomero katika milima ya Ndole, wakazi wa kijiji hicho wengi wao wakijishughulisha zaidi na kilimo cha mazao ya Ndizi, maharage pamoja na magimbi ambayo yamekuwa yakisafirishwa sehemu mbalimbali nchini.
Add a commentRead more: UJENZI WA DARAJA KATA YA KINDA MVOMERO: Wananchi waiomba Serikali kuwajengea.
Jeshi la Polisi Nchini limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 504 wa matukio mbalimbali ya uhalifu akiwemo Mganga wa kienyeji Itawa Mwanamiwa na mwenzake Tabu Mwanduru ambao waliwaaminisha watu kuua Wanawake 50 na kuwabaka ili kupata utajiri hali iliyopelekea Wanawake 29 kuuwawa na kubakwa katika maeneo ya Wilaya za Kwimba,Misungwi na Mkoa wa Shinyanga.
Taarifa na Salma Mrisho
Read more: OPARESHENI YA KUSAKA WAHALIFU NCHINI:Watuhumiwa 504 wakamatwa na polisi.
Mfanyabiashara James Rugemalira, ametoa notisi kwa taasisi kadhaa akiwemo Mkurugenzi wa Mashitaka nchini DPP akiomba amtoe kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili.
Add a commentRead more: KESI YA UHUJUMU UCHUMI; Rugemalira atoa notisi kwa Taasisi Tisa
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.