Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 31 Mei, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Miradi wa taasisi ya The Susan Thompson Buffet Foundation Bi. Senait Fisseha ambayo inajihusisha na masuala ya afya ya wanawake.
Add a commentRead more: Rais Mhe. Samia Suluhu akutana na Bi. Senait Fisseha
Mchezaji wa timu ya mpira wa miguu wa klabu ya Crystal Palace inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza (EPL) na Mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa amekubali ombi la Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kuwa Balozi wa hiari wa utalii wa Tanzania.
Add a commentRead more: MCHEZAJI WA CRYSTAL PALACE AKUBALI KUWA BALOZI WA UTALII TZ.
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Kenya kwa ziara rasmi ya kikazi ya siku mbili.
Add a commentWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia bei nzuri ya mazao kwa wakulima nchini.
Add a commentRead more: Tutaendelea kusimamia bei ya Mazao, Waziri Mkuu Tanzania Majaliwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi nchini Kenya Mei 04, 2021 siku ya Jumanne.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kabla ya kupokea chanjo ya virusi vya Corona ni lazima serikali ijiridhishe kwanza juu ya chanjo hiyo ikiwa ni pamoja na kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19.
Add a commentRead more: “TUTAJIRIDHISHA KABLA YA KUKUBALI CHANJO YA CORONA”- Rais Samia.
Rais Samia Suluhu Hassan amepata ushindi wa asilimia mia moja ya wapiga kura wote katika chama cha CCM ambacho sehemu kubwa ya uongozi wake wa juu ni wanaume.
Add a comment
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kuwapokea wawekezaji kutoka Kenya pamoja na kuondoa vikwazo visivy vya kodi ambavyo vinaathiri biashara kati ya mataifa hayo mawili.
Mkurugenzi wa mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA) na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi anasema kuwa Kimbunga Jobo kwa sasa kipo kilomita 236 kutoka kisiwa Cha mafia Mkoa wa Pwani nchini Tanzania.
Add a commentRead more: KIMBUNGA JOBO CHAKARIBIA TANZANIA, TAHADHARI ZATOLEWA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.