Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amefariki dunia leo Julai 22, katika Hospitali ya Mount Meru.
Add a commentRead more: HABARI ZA HIVI PUNDE: ANNA MGHWIRA AFARIKI DUNIA.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza SACP. Ramadhani Ngh'anzi amethibisha kuwakamata viongozi 15 wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho taifa Freeman Mbowe.
Add a commentRead more: POLISI MWANZA WATHIBITISHA KUMKAMATA MBOWE NA WENZAKE.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha miundombinu ya bandari ili kuvutia idadi kubwa ya watumiaji zikiwemo nchi za ukanda wa Maziwa Makuu.
Add a commentRead more: UBORESHWAJI WA BANDARI KUZIVUTIA NCHI ZA MAZIWA MAKUU.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika amesema kamati kuu ya chama hicho itakaa Julai 22 mwaka huu ili kujadili ni maelekezo gani kama chama wanapaswa kutoa kwa wanachama ya kumtafuta mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, ambaye hajulikani alipo mpaka sasa.
Add a commentRead more: CHADEMA KUKUTANA JULAI 22 KUJADILI ALIPO MBOWE NA VIONGOZI WENGINE.
Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amesema serikali itashirikiana bega kwa bega na majimbo ya Magharibi mwa Ujerumani yaliyoathirika kwa mafuriko ili kuzijenga upya jamii.
Add a commentRead more: MERKEL AAHIDI MSAADA KWA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezitaka taasisi zinazowasafirisha Mahujaji pamoja na Masheikh na Walimu kuendelea kuwapa moyo Waislamu waliokosa fursa ya kwenda Hijja kutokata tamaa.
Add a commentRead more: RAIS MWINYI ATOA RAI KWA TAASISI ZINAZOSAFIRISHA MAHUJAJI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameviagiza vyombo vya Ulinzi na Usalama kufanya uchunguzi wa kina kujua chanzo cha moto uliotokea usiku wa jana Julai 10, katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Dar es Saalam.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA AVIAGIZA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema chanjo ya ugonjwa wa Corona ipo tayari nchini na ikiwa mwananchi yoyote anataka kuchanjwa akachanje kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya ugonjwa huo.
Add a commentRead more: CHANJO YA CORONA IPO NCHINI, ATAKAYETAKA KUCHANJA RUKSA-Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu Kaasim Majaliwa ametoa siku saba za awali kwa tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la Kariakoo uliokuwa ukiteketeza soko hilo kuanzia majira ya usiku wa Julai 10,2021, Ambapo ameitaka tume hiyo kubaini ni nini kimesababisha au nani kasababisha moto huo.
Add a commentRead more: WAZIRI MKUU ATOA SIKU SABA UCHUNGUZI CHANZO CHA MOTO SOKO LA KARIAKOO.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.