Star Tv

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amefariki dunia leo Julai 22, katika Hospitali ya Mount Meru.

Add a comment

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza SACP. Ramadhani Ngh'anzi amethibisha kuwakamata viongozi 15 wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho taifa Freeman Mbowe.

Add a comment

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha miundombinu ya bandari ili kuvutia idadi kubwa ya watumiaji zikiwemo nchi za ukanda wa Maziwa Makuu.

Add a comment

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika amesema kamati kuu ya chama hicho itakaa Julai 22 mwaka huu ili kujadili ni maelekezo gani kama chama wanapaswa kutoa kwa wanachama ya kumtafuta mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, ambaye hajulikani alipo mpaka sasa.

Add a comment

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amesema serikali itashirikiana bega kwa bega na majimbo ya Magharibi mwa Ujerumani yaliyoathirika kwa mafuriko ili kuzijenga upya jamii.

Add a comment

Rais wa Zanzibar Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezitaka taasisi zinazowasafirisha Mahujaji pamoja na Masheikh na Walimu kuendelea kuwapa moyo Waislamu waliokosa fursa ya kwenda Hijja kutokata tamaa.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameviagiza vyombo vya Ulinzi na Usalama kufanya uchunguzi wa kina kujua chanzo cha moto uliotokea usiku wa jana Julai 10, katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Dar es Saalam.

Add a comment

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema chanjo ya ugonjwa wa Corona ipo tayari nchini na ikiwa mwananchi yoyote anataka kuchanjwa akachanje kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya ugonjwa huo.

Add a comment

Waziri Mkuu Kaasim Majaliwa ametoa siku saba za awali kwa tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la Kariakoo uliokuwa ukiteketeza soko hilo kuanzia majira ya usiku wa Julai 10,2021, Ambapo ameitaka tume hiyo kubaini ni nini kimesababisha au nani kasababisha moto huo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.