Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Sekta ya Sanaa, Utamaduni na Michezo inakua kwa kasi kubwa na inatoa fursa ya ajira kwa vijana nchini.
Add a commentMkazi mmoja Wilayani Serengeti aitwaye Happy Nyasumo mwenye umri wa miaka 18 amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa yao.
Add a commentRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta uliowasilishwa kwake na Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa nchi hiyo, Balozi Amina Mohamed.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA RAIS KENYATTA.
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeingilia kati sakata la kusambazwa kwa video zisizo na maadili linalomuhusu msanii Harmonize kwa kutoa taarifa inayoeleza kusikitishwa na kitendo hicho kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii.
Add a commentRead more: BASATA WAINGILIA KATI SUALA LA WASANII KUDHALILISHANA.
Rais Samia Suluhu Hassan amewakumbusha viongozi wa serikali wajibu wao kadiri ya Wizara zao leo Aprili 06,2021 wakati akiwaapisha Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu Katibu.
Add a commentRead more: RAIS SAMIA AVUNJA UKIMYA KWA VIONGOZI WA SERIKALI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema tayari serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema anafikiria kuunda kamati ya wataalamu watakaoangalia kwa upana wake kitaalamu na kuishauri serikali suala la Ugonjwa wa COVI-19 ili kupata mustakabali wa kukabiliana na ugonjwa huo.
Add a commentRead more: “NAFIKIRIA NIUNDE KAMATI KUSHUGHULIKIA COVID-19”-Rais Samia.
Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya pili Dkt. Ali Hassan Mwinyi amemtembelea Rais Samia Suluhu Hassan nyumbani kwake leo Aprili 12, na kufanya naye mazungumzo.
Add a commentRead more: RAIS MSTAAFU MWINYI AMTEMBELEA RAIS SAMIA NYUMBANI KWAKE.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu wa wizara na wakuu wa taasisi walioapishwa leo kuelewa majukumu yao na kujipanga kuwatumikia Watanzania.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.