Star Tv

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Sekta ya Sanaa, Utamaduni na Michezo inakua kwa kasi kubwa na inatoa fursa ya ajira kwa vijana nchini.

Add a comment

Mkazi mmoja Wilayani Serengeti aitwaye Happy Nyasumo mwenye umri wa miaka 18 amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa yao.

Add a comment

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta uliowasilishwa kwake na Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa nchi hiyo, Balozi Amina Mohamed.

Add a comment

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeingilia kati sakata la kusambazwa kwa video zisizo na maadili linalomuhusu msanii Harmonize kwa kutoa taarifa inayoeleza kusikitishwa na kitendo hicho kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii.

Add a comment

Rais Samia Suluhu Hassan amewakumbusha viongozi wa serikali wajibu wao kadiri ya Wizara zao leo Aprili 06,2021 wakati akiwaapisha Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu Katibu.

Add a comment


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema tayari serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu.

Add a comment

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema anafikiria kuunda kamati ya wataalamu watakaoangalia kwa upana wake kitaalamu na kuishauri serikali suala la Ugonjwa wa COVI-19 ili kupata mustakabali wa kukabiliana na ugonjwa huo.

Add a comment

Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya pili Dkt. Ali Hassan Mwinyi amemtembelea Rais Samia Suluhu Hassan nyumbani kwake leo Aprili 12, na kufanya naye mazungumzo.

Add a comment

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu wa wizara na wakuu wa taasisi walioapishwa leo kuelewa majukumu yao na kujipanga kuwatumikia Watanzania.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.