Rais Samia Suluhu Hassani amewaapisha mawaziri na manaibu waziri aliowateua.
Add a commentWabunge, Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia Suluhu hapo Hassan jana Machi 31, wamekula viapo vyao vya uaminifu leo April 01,2021 bungeni Dodoma.
Add a commentRead more: WABUNGE, MAWAZIRI WALIOTEULIWA NA RAIS SAMIA WALA KIAPO.
Hatimaye aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli amezikwa katika makazi yake eneo la Mlimani Chato leo Machi 26,2021.
Add a commentRead more: HAYATI RAIS DKT. MAGUFULI APUMZISHWA KWENYE MAKAZI YA MILELE.
Dr Philip Mpango amekula kiapo leo kuwa makamu wa Rais wa Tanzania, Hafla ya kuapishwa kwa Mhe. Dkt. Mpango imefanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma.
Add a commentRead more: Rais Samia Suluhu afanya mabadiliko baraza la Mawaziri.
Mwili wa hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli utazikwa katika makaburi ya familia huko wilayani Chato, mkoani Geita leo Machi 26,2021.
Add a commentHii ni mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumpendekeza Philip Isdory Mpango kuwa Makamu wake wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Add a commentRead more: DKT. PHILIP MPANGO ACHAGULIWA KUWA MAKAMU WA RAIS.
Wananchi wakiweka nguo na majani katikati ya barabara ambayo mwili wa aliyekuwa Raisi wa Tanzania Hayati, DK, John Pombe Magufuli ukipita ikiwa ni ishara ya heshima na kumwaga katika safari yake ya mwisho. Haya ni baadhi ya maeneo ya mkoa wa Geita kuelekea wilayani Chato ambapo mwili wake utapumzishwa siku ya ijumaa tarehe 26/03/2021.
Add a commentFamilia ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere imefika wilayani Chato Mkoani Geita nyumbani kwa Mjane Mama Janeth Magufuli kumpa salamu za pole kutokana na msiba wa aliyekuwa mumewe Hayati Rais Dkt. John Magufuli.
Add a commentRead more: FAMILIA YA NYERERE YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MAMA JANETH MAGUFULI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alikuwa kiongozi mahiri na ameacha alama Taifa zima na ndiyo sababu analiliwa na wananchi nchi nzima hadi vijijini.
Add a commentRead more: “HAYATI DKT. MAGUFULI AMEACHA ALAMA TAIFA ZIMA”-Majaliwa.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.