Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Ndungi katika Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo kwa madai ya kukataa kuchangia nyama ya Shilingi 1,500 waliyonunua.
Add a commentRead more: AMUUA NDUGU YAKE KWA KUGOMA KULIPA NYAMA YA SHIL. 1500.
Makamu wa Rais Dokta Philip Mpango amesema hajaridhishwa na shirika la Posta jinsi linavyotumia fursa za masoko ya nje ya nchi hususani jumuiya ya afrika ya mashariki na ukanda wa SADC kwani takwimu zinaonyesha kuwa huduma za Posta zinachangia chini ya asilimia 0.5 ya fedha za kigeni zinazotokana na mauzo ya huduma za Posta nje ya nchi
Add a commentRais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa serikali za mitaa kutoa elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19 kwa wananchi.
Add a commentRais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Ashatu Kachambwa Kijaji aliyefika Ikulu, Zanzibar kujitambulisha rasmi.
Add a commentSerikali imetoa Shilingi Milioni 700 kusaidia ukarabati wa barabara za vijijini katika jimbo la Karagwe mkoani Kagera ili kuboresha miundombinu ya jimbo hilo hatua inayosaidia kurahisisha mawasiliano na kuboresha huduma za kijamii jimboni humo.
Add a commentRead more: SHIL. MIL. 700 ZATOLEWA KUKARABATI BARABARA KARAGWE.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge Ngorongoro na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji, William Tate Ole Nasha na amewasihi wananchi wamuenzi kwa kuyaendeleza mambo mazuri yote aliyofanya enzi za uhai wake.
Add a commentRead more: MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA NAIBU WAZIRI WILLIAM OLE NASHA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinachangia katika kuinua uchumi wa Watanzania.
Add a commentKatika kuadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani kila mwaka ifikapo tarehe 28 ya kila mwezi Septemba, Wizara ya Afya imewatahadharisha wananchi kujikinga na ugonjwa huo hatari ambao unaweza kusababisha vifo.
Add a commentRead more: TAHADHARI YATOLEWA KUHUSU UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza mkuu wa mkoa wa Kagera Meja Jenerali Charles Mbuge kufuatilia kwa karibu ujenzi wa eneo la maegesho ya magari katika kijiji cha Nyakanazi wilayani Biharamulo ambalo ujenzi wake umekuwa ukisuasua.
Add a commentRead more: WAZIRI MKUU AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE KATIKA UJENZI UNAOSUASUA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.