Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema wanawake watamuweka madarakani rais mwanamke mwaka 2025.
Add a commentRead more: “NANI KAWAAMBIA SITASIMAMA KUGOMBEA 2025? - Rais Samia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo ameitaka Bodi ya Mikopo ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii kuendeleza ushirikiano uliopo ili kuhakikisha watanzania wahitaji wenye sifa za kujiunga na elimu ya juu wanawezeshwa.
Add a commentRead more: WANAFUNZI ELIMU YA JUU KUTOKA KAYA MASKINI KUNEEMEKA.
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 10, 2021 amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Add a commentRead more: DKT. STERGOMENA ATEULIWA KUWA MBUNGE BUNGE LA JMT.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso ametoa rai kwa wabunge hapa nchini kuziomba mamlaka zinazowazunguka kuboresha miundombinu ya michezo ikiwa ni pamoja na viwanja vya michezo katika maeneo yao ili kuwa katika viwango vinavyotakiwa.
Add a commentRead more: WAZIRI AWESO AITUMIA BASHUNGWA CUP KUWAPA MBINU WABUNGE.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewakaribisha Wawekezaji kutoka Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kuwekeza na kufanya biashara na Tanzania kutokana na uwepo wa mazingira rafiki na fursa za uwekezaji.
Add a commentRead more: WAWEKEZAJI KUTOKA MISRI WAHAKIKISHIWA MAZINGIRA RAFIKI.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri.
Add a commentRead more: MAWAZIRI WAPYA WATATU WALIOTEULIWA NA RAIS SAMIA.
Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinishia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani milioni 567.25 sawa na shilingi za Tanzania Tril 1.3 kwa ajili ya kukabiliana na athari za ugonjwa wa UVIKO 19.
Add a commentRead more: TANZANIA YAPATIWA SHIL. TRIL.1.3 KUPAMBANA NA CORONA.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa ameigiza Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kuandaa mpango mkakati wa makusanyo ya mirabaha pamoja na takwimu za maeneo yanayotakiwa kulipa mirabaha na kuziwasilisha wizarani mwisho mwa mwezi Septemba.
Add a commentRais Samia suluhu Hassan leo Septemba 08, 2021 ametawazwa na Umoja wa Watemi wa Kisukuma kwa kushirikiana na Umoja wa Machifu nchini kuwa Chifu wa Machifu wote hapa nchini Tanzania.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.