Star Tv

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema wanawake watamuweka madarakani rais mwanamke mwaka 2025.

Add a comment

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo ameitaka Bodi ya Mikopo ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii kuendeleza ushirikiano uliopo ili kuhakikisha watanzania wahitaji wenye sifa za kujiunga na elimu ya juu wanawezeshwa.

Add a comment

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 10, 2021 amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Add a comment

Waziri wa Maji Jumaa Aweso ametoa rai kwa wabunge hapa nchini kuziomba mamlaka zinazowazunguka kuboresha miundombinu ya michezo ikiwa ni pamoja na viwanja vya michezo katika maeneo yao ili kuwa katika viwango vinavyotakiwa.

Add a comment

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewakaribisha Wawekezaji kutoka Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kuwekeza na kufanya biashara na Tanzania kutokana na uwepo wa mazingira rafiki na fursa za uwekezaji.

Add a comment

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri.

Add a comment

Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinishia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani milioni 567.25 sawa na shilingi za Tanzania Tril 1.3 kwa ajili ya kukabiliana na athari za ugonjwa wa UVIKO 19.

Add a comment

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa ameigiza Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kuandaa mpango mkakati wa makusanyo ya mirabaha pamoja na takwimu za maeneo yanayotakiwa kulipa mirabaha na kuziwasilisha wizarani mwisho mwa mwezi Septemba.

Add a comment

Rais Samia suluhu Hassan leo Septemba 08, 2021 ametawazwa na Umoja wa Watemi wa Kisukuma kwa kushirikiana na Umoja wa Machifu nchini kuwa Chifu wa Machifu wote hapa nchini Tanzania.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.