Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali itawachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha kazi watumishi wa idara ya uvuvi na maafisa uvuvi kwenye halmashauri zote nchini watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu katika kutokomeza uvuvi haramu.
Add a commentRead more: VITA DHIDI YA UVUVI HARAMU: Watendaji wa serikali watahadharishwa
Naibu Waziri wa Madini Dotto Biteko amewaagiza wakurugenzi na watendaji wa Shirika la Madini La Taifa [STAMICO] kutoa maelezo ya kwanini wasichukuliwe hatua kwa kuisababishia madeni Serikali ya shilingi Bilioni 54.
Add a commentRead more: TUHUMA ZA UBADHIRIFU : STAMICO waagizwa kujieleza juu Bil. 54
Wadau wa Kahawa mkoani Kilimanjaro wamepongeza hatua ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuvunja mfuko wa maendeleo ya zao la Kahawa (CDTF) wakieleza kuwa mfuko huo ulikuwa ni mzigo kwa wakulima kutokana na tozo mbalimbali.
Add a commentRead more: KUVUNJA MFUKO WA KAHAWA: Wadau Kilimanjaro wampongeza Waziri Mkuu
Pamoja na Serikali kutoa bei elekezi ya Mbolea bado baadhi ya Wafanyabiashara wa Pembejeo wanauza bei ya juu ambapo mbolea ya Kupandia Shilingi 57,300 lakini wanauziwa 80,000 huku ya kukuzia ikiuzwa 60,000 badala ya 47,000 kama bei elekezi inavyoelekeza.
Add a commentRead more: Bei ya mbolea elekezi ya serikali yapuuzwa na wafanyabiashara .
January 15, 2018 Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ametoa taarifa inayoelezea mambo aliyoyajadili wakati alipokwenda IKULU kukutana na Rais Magufuli January 9 2018.
Add a commentRead more: Taarifa ya leo ya Edward Lowassa kuhusu alichoongea na Rais Magufuli IKULU
Waziri mkuu wa Kassim Majariwa,amemwagiza mkuu wa mkoa wa Mara,Adamu Malima,kumchukulia hatua mhandisi wa Rorya Oberto SASAI kwa kushindwa kusimamia mradi wa maji wa kijiji cha Kinesi uliotolewa kiasi cha sh million 700 huku mkandarasi akishindwa kuukamilisha kwa wakati.
Add a commentRead more: MRADI WA MAJI WA KINESI: Waziri mkuu aagiza mkandarasi kuchukulia hatua
Naibu Waziri wa Madini Doto Biteko ametaka ukusanyaji wa mapato katika sekta ya madini ufanyike kwa uwazi bila kificho na kuagiza kuwa kuanzia sasa kazi za kukusanya Maduhuli zinazofanywa na Ofisi ya Madini hazitafanywa na ofisi hiyo pekee bali watashirikiana na Kamati za Ulinzi na Usalama katika eneo husika.
Add a commentRead more: • UKUSANYAJI WA MAPATO: Biteko ataka uwazi katika sekta ya madini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za msingi na sekondari na amewaagiza mawaziri wenye dhamana kushugulikia agizo hili mara moja.
Add a commentRead more: Rais Dkt Magufuli apiga marufuku michango shule za serikali
Serikali imewatoa wasiwasi wakulima wa Pamba mkoani Morogoro juu ya upatikanaji wa soko pamoja na pembejeo ambapo mnunuzi atakayenunua Pamba yote itakayozalishwa amepatikana.
Add a commentRead more: ZAO LA PAMBA: Wakulima Morogoro waahidiwa soko, pembejeo
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.