Star Tv

Matokeo ya utafiti uliofanywa na Chama cha Viziwi Tanzania CHAVITA kwa mikoa ya Arusha, Morogoro na Mwanza yanaonesha miundombinu katika sehemu ya kutolea huduma za kijamii siyo rafiki kwa walemavu hao wa kusikia ikiwemo kukosa tafsiri ya lugha ya alama wakati wakihitaji huduma.

Ingawa maisha yanasonga lakini vipo vikwazo vyenye kuwakumba wakati wakihitaji huduma kadhaa, Upo utafiti unaweka wazi vikwazo hivyo vinavyoficha haki zao Utafiti unasema Ni mara chache kukuta mkarimani katika huduma za kijamii kama hospitali na sehemu nyingine.

Hili linatia shaka juu ya mustakabali wa Viziwi nchini.

Licha ya kuwepo kwa Sera na Sheria ya Walemavu namba 9 ya mwaka 2004, utekelezaji wake unatajwa sio wa kiwango cha kuridhisha. Katika mafunzo haya wajumbe watapata fursa ya kujadili utafiti huo unaoonesha bayana yenye kuwakabili viziwi.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.