Waziri mkuu wa Kassim Majariwa,amemwagiza mkuu wa mkoa wa Mara,Adamu Malima,kumchukulia hatua mhandisi wa Rorya Oberto SASAI kwa kushindwa kusimamia mradi wa maji wa kijiji cha Kinesi uliotolewa kiasi cha sh million 700 huku mkandarasi akishindwa kuukamilisha kwa wakati.
Waziri mkuu mheshimiwa Kassimu Majaliwa amemwagiza mkuu wa mkuu wa mkoa wa Mara,Adamu Malima,kumchukuliwa hatua muhandisi wa Maji wa wilaya ya Rorya,Obeto Sassi kwa kushindwa kusimamia mradi wa maji wa kijiji cha Kinesi.
Kwa upande wao,mbunge wa jimbo la Rorya Lameck Ayiro amemweleza waziri mkuu kuwa tatizo hilo ni kubwa na linahitaji ufumbuzi wa haraka.
Akielezea mradi huo,mhandisi wa maji wa wilaya hiyo,Obeto Sassai,amesema kuwa tatizo lillopo hapo ni mkandarasi kushindwa kuukamilisha mradi kwa wakati.
Waziri mkuu Kassimu Majaliwa anaendelea na ziara yake mkoani Mara,yupo wilayani Rorya akikagua na kuangalia shughuli miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya tano.
Picha na mtandao.