Star Tv

Waziri mkuu wa Kassim Majariwa,amemwagiza mkuu wa mkoa wa Mara,Adamu Malima,kumchukulia hatua mhandisi wa Rorya Oberto SASAI kwa kushindwa kusimamia mradi wa maji wa kijiji cha Kinesi uliotolewa kiasi cha sh million 700 huku mkandarasi akishindwa kuukamilisha kwa wakati.

Waziri mkuu mheshimiwa Kassimu Majaliwa amemwagiza mkuu wa mkuu wa mkoa wa Mara,Adamu Malima,kumchukuliwa hatua muhandisi wa Maji wa wilaya ya Rorya,Obeto Sassi kwa kushindwa kusimamia mradi wa maji wa kijiji cha Kinesi.

Kwa upande wao,mbunge wa jimbo la Rorya Lameck Ayiro amemweleza waziri mkuu kuwa tatizo hilo ni kubwa na linahitaji ufumbuzi wa haraka.

Akielezea mradi huo,mhandisi wa maji wa wilaya hiyo,Obeto Sassai,amesema kuwa tatizo lillopo hapo ni mkandarasi kushindwa kuukamilisha mradi kwa wakati.

Waziri mkuu Kassimu Majaliwa anaendelea na ziara yake mkoani Mara,yupo wilayani Rorya akikagua na kuangalia shughuli miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya tano.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.