Star Tv

Katika wiki ya utalii ambayo hufanyika kila mwishoni mwa mwaka wananchi wanaotoka wilaya ya Nyasa hukusanyika na kufanya utalii wa ndani pamoja na kutathimini mambo mbali mbali yanayohusu elimu na utamaduni pamoja na jinsi ya kuimarisha uchumi.

Mwaka huu viongozi wa Mkoa wamejitokeza wiki ya utalii na kuhiza jamii za mataifa mbambali kwenda wilaya ya nyasa.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma akiwa katika utali wandani aliainisha vivutio vya wilaya ya nyasa kiwemo kisiwa cha pomonda, kisiwa cha lundo pamoja na mapango ya matope.mchanga laini katika ufukwe na samaki wa mapambo.

Mkuu wa mkoa akiongelea kuhusu usafiri katika ziwa Nyasa amesema kwa sasa serikari ina jenga bandari na kufanya upanuzi wa bandari pia zoezi la kutathmini mali za watu walio karibu na bandari unaendelea.

Wilaya ya Nyasa ni moja ya wilaya yenye histori ya mambo ya utalii kisiwa cha Pomonda ni kisiwa ambacho kilikuwa ni kimbilio la watu katika vita vikuu vya kwanza vya dunia watu mia mbili hamsini waliweza kujificha,pia kisiwa cha Lundo ni kisiwa kilicho tumika kuwatunza watu wenye ukoma pamoja na yote watu hufaidi kuona milima ya Livingstone ,katika wikii ya utali kuna kuwa na mashindano ya ngoma mbalimbali za utamaduni.

Picha na mtandao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.