Serikali imetakiwa kuangalia upya mfumo wa stakabadhi ghalani kutokana na wanunuzi kuchelewa kufanya malipo tangu siku ya mnada.
Add a commentRead more: Serikali kuangalia upya mfumo wa stakabadhi ghalani
Tanzania hupoteza miti zaidi ya milioni 38 kila mwaka kutokana na matumizi mbalimbali ya kibinadamu hatua inayoelezwa kuwa huenda ikasababisha nchi kuingia katika jangwa miaka 15 ijayo iwapo hatua za dhati hazitochukuliwa kupambana na tatizo hilo.
Add a commentRead more: Tanzania hupoteza miti zaidi ya milioni 38 kwa mwaka
Uelewa mdogo wa kina juu ya Elimu ya Ukimwi kati ya watu wazima na Vijana na Kuanza mahusiano ya Ngono katika umri mdogo kunatajwa kuwa ni sababu zinazochangia maambukizi Mapya kuwa makubwa kwa vijana Tanzania.
Add a commentAbdurahman Kinana ataendelea kuwa katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania.
Add a commentMamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha imesema itachukua miaka mingi kwa mchanga unaohama katika eneo la Olduvai kutoka nje ya hifadhi licha ya kwamba umekuwa ukisogea kila wakati.
Add a commentRead more: Itachukua miaka mingi mchanga wa Ngorongoro kutoka nje ya hifadhi.
Baada ya kinyang’anyiro cha uchaguzi wa udiwani nchi nzima kumalizika jana November 26, 2017 na chama cha ACT wazalendo kushindwa kupata hata kata moja ya ushindi, kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe ameongelea suala hilo.
Add a commentRead more: Zitto Kabwe baada ya chama chake kushindwa udiwani nchi nzima Azungumza
KILIMO cha umwagiliaji kimetajwa kuwa mwarobaini wa tatizo la Uvuvi haramu na uharibifu wa mazingira katika Bwawa la Mtera mkoani Iringa, ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imeshauriwa kuwekeza katika ujenzi wa miundiombinu ya umwagiliaji.
Add a commentMahakama ya hakimu Mkazi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro imeamuru kufukuliwa kwa Kaburi palipozikwa mwili wa mtu mmoja.......
Add a commentUchache wa madarasa, utoro wa wanafunzi na walimu unadaiwa kuwa chanzo cha wanafunzi kufeli masomo yao wakati muunganiko wa ushirikiano baina ya wazazi na walimu ukiongeza nafasi ya kufeli kwa wanafunzi na kutojua kusoma kwa asilimia 28 nchi nzima.
Add a commentRead more: Asilimia 28 ya wahitimu darasa la saba hawajui kusoma.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.