Matokeo ya utafiti uliofanywa na Chama cha Viziwi Tanzania CHAVITA kwa mikoa ya Arusha, Morogoro na Mwanza yanaonesha miundombinu katika sehemu ya kutolea huduma za kijamii siyo rafiki kwa walemavu hao wa kusikia ikiwemo kukosa tafsiri ya lugha ya alama wakati wakihitaji huduma.
Add a commentRead more: WALEMAVU WA KUSIKIA: Utafiti wabaini miundombinu isiyo rafiki
Kiongozi wa upinzani Edward Ngoyai Lowassa amesifu kazi anayoifanya Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli nchini. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ikulu, Bw Lowassa amesema hayo baada ya kukutana na kufanya mazungumzo naye, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Bw Lowassa amempongeza Dkt Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya.
Add a commentNaibu Spika Tulia Ackson amewaongoza waombolezaji Jijini Dar Es Salaam katika kuuaga mwili wa Mke wa Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Kangi Lugola, ACP Mary Lugola .
Add a commentMaafisa wa utawala nchini Tanzania wamesema kuwa hawatawafungulia mashtaka wasichana watano wa shule waliopata ujauzito ambao walikamatwa mwishoni mwa juma lililopita baada ya mkuu wa wilaya kuagiza kukamatwa kwao.
Add a commentRead more: Wasichana waliokamatwa na ujazito hawatashtakiwa.
Katika wiki ya utalii ambayo hufanyika kila mwishoni mwa mwaka wananchi wanaotoka wilaya ya Nyasa hukusanyika na kufanya utalii wa ndani pamoja na kutathimini mambo mbali mbali yanayohusu elimu na utamaduni pamoja na jinsi ya kuimarisha uchumi.
Add a commentRead more: Mataifa yaalikwa kwenda kushuhudia vivutio Nyasa.
Mgodi wa ACACIA umesaini mkataba na Halmashauri ya Msalala na Nyangh’wale kuanza mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria utakaogharimu shilingi bilioni 4.5 na kunufaisha vijiji 14.
Add a commentMkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala, amewasainisha Wakuu wa Wilaya wa Wilaya zote mkoani humo mikataba ya uwajibikaji katika Uhamasishaji wa Ujenzi wa Zahanati na Vituo vya Afya pamoja na Uandikishaji wa Wananchi kwenye Bima ya Afya ya Jamii, CHF, ili kufanikisha Sera ya Serikali ya Afya ya Msingi.
Add a commentMnadhimu mkuu wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema Bw Tundu Lissu amesema dalili zinaonesha watu waliomshambulia kwa risasi mjini Dodoma mwaka jana walikuwa na uhusiano na serikali. Bw Lissu, akihutubia wanahabari kwa mara ya kwanza tangu kulazwa hospitalini, ameonekana kuilaumu serikali ya Rais John Magufuli kwa kuwakandamiza wapinzani.
Add a commentRead more: Tundu Lissu aitaka jamii ya kimataifa kuingilia kati Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Kaguta Museveni uliyowasilishwa na Waziri wa mambo ya nje wanchi hiyo mjumbe maalum Sam Kutesa ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.