Star Tv

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) leo tarehe 13 Machi 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) Kanda ya Afrika Prof Shaukat Abdulrazak.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Machi, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Urusi ulioongozwa na Mjumbe Maalum wa Rais wa Urusi katika masuala ya Afrika ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Mikhail Bogdanov, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Add a comment

 

 

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Magreth Sinkamba mkazi wa kijiji cha Mpui Wilaya ya Momba Mkoani Songwe anashikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za kumuua Mumewe kwa kipigo....

Add a comment

UBADHIRIFU WA SH. BIL. 1.594: Mkuu wa Chuo cha  Ualimu Mpwapwa kumsimamisha kazi Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amemuagiza Katibu mkuu wa wizara hiyo kumsimamisha kazi Add a comment

Soko maarufu la mitumba jijini Mwanza lawaka moto na kukusanya umati wa watu wakishuhudia vitu vikiungua.

Add a comment

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za fedha chini ya Benki kuu ya Tanzania kuanzisha  kitengo maalum ndani ya taasisi hizo kitakachokuwa kinapokea madini ya dhahabu kama dhamana ya mkopo kwa wachimbaji wa madini ikiwa ni sambamba na kuangalia namna ya kupunguza riba ili iwe nafuu kwa wachimbaji wadogo.

Add a comment

Waziri mkuu wa Tanzania Kasim Majaliwa amewata Wanajumuiya ya WANAJIOSAYANSI kuwa wa kwanza kujua kinachoendelea katika sekta zote zinazowahusu  bila kujali wanafanya kazi serikalini au Shirika Binafsi kwa maslahi mapana ya Taifa.

Add a comment

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi.

Add a comment

Kivuko cha MV Kitunda kinachofanya safari zake kutoka Lindi mjini Kuelekea ng’ambo ya pili ya bahari kimesitisha safari zake baada ya kupata hitilafu za kiufundi

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.