Read more: UBADHIRIFU WA SH BIL.1.594: NDALICHAKO AMTUMBUA MKUU WA CHUO CHA UALIMU MPWAPWA
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) leo tarehe 13 Machi 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) Kanda ya Afrika Prof Shaukat Abdulrazak.
Add a commentRead more: Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga akutana na Shaukat Abdulrazak
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Machi, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Urusi ulioongozwa na Mjumbe Maalum wa Rais wa Urusi katika masuala ya Afrika ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Mikhail Bogdanov, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: Rais, Dkt. John Pombe Magufuli Akutana na Ujumbe wa Urusi
MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Magreth Sinkamba mkazi wa kijiji cha Mpui Wilaya ya Momba Mkoani Songwe anashikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za kumuua Mumewe kwa kipigo....
Add a commentSoko maarufu la mitumba jijini Mwanza lawaka moto na kukusanya umati wa watu wakishuhudia vitu vikiungua.
Add a comment
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za fedha chini ya Benki kuu ya Tanzania kuanzisha kitengo maalum ndani ya taasisi hizo kitakachokuwa kinapokea madini ya dhahabu kama dhamana ya mkopo kwa wachimbaji wa madini ikiwa ni sambamba na kuangalia namna ya kupunguza riba ili iwe nafuu kwa wachimbaji wadogo.
Add a commentWaziri mkuu wa Tanzania Kasim Majaliwa amewata Wanajumuiya ya WANAJIOSAYANSI kuwa wa kwanza kujua kinachoendelea katika sekta zote zinazowahusu bila kujali wanafanya kazi serikalini au Shirika Binafsi kwa maslahi mapana ya Taifa.
Add a comment
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi.
Add a commentKivuko cha MV Kitunda kinachofanya safari zake kutoka Lindi mjini Kuelekea ng’ambo ya pili ya bahari kimesitisha safari zake baada ya kupata hitilafu za kiufundi
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.