Star Tv

Mtu mmoja amepigwa risasi na kufariki baada ya kuliendesha gari lake kuelekea kwa maafisa wawili wa polisi karibu na majengo ya bunge nchini Marekani, Ambaye pia amesababisha kifo cha Afisa wa polisi mmoja.

Add a comment

Waziri wa Afya Prof. Jean Louis Rakotovao wa Madagascar amesema taifa lake limekubali kupata chanjo ya ugonjwa wa COVID-19.

Add a comment

Takribani watu 180 wamekwama ndani ya hoteli moja kwenye mji wa kaskazini mwa Msumbiji, baada ya kuzingirwa na wanamgambo kwa zaidi ya siku tatu, huku watu kadhaa wakiripotiwa kufa.

Add a comment

Marekani imewaamuru baadhi ya wafanyakazi wake na familia zao kuondoka nchini Myanmar kutokana ghasia zinazoendelea.

Add a comment

Rais wa Marekani Joe Biden amesema Vladimir Putin atajuta kwa juhudi zake za kujaribu kushawishi uchaguzi wa urais wa mwaka wa 2020 nchini Marekani kwa niaba ya Donald Trump.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.