Mtu mmoja amepigwa risasi na kufariki baada ya kuliendesha gari lake kuelekea kwa maafisa wawili wa polisi karibu na majengo ya bunge nchini Marekani, Ambaye pia amesababisha kifo cha Afisa wa polisi mmoja.
Add a commentWaziri wa Afya Prof. Jean Louis Rakotovao wa Madagascar amesema taifa lake limekubali kupata chanjo ya ugonjwa wa COVID-19.
Add a commentTakribani watu 180 wamekwama ndani ya hoteli moja kwenye mji wa kaskazini mwa Msumbiji, baada ya kuzingirwa na wanamgambo kwa zaidi ya siku tatu, huku watu kadhaa wakiripotiwa kufa.
Add a commentMarekani imewaamuru baadhi ya wafanyakazi wake na familia zao kuondoka nchini Myanmar kutokana ghasia zinazoendelea.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema Vladimir Putin atajuta kwa juhudi zake za kujaribu kushawishi uchaguzi wa urais wa mwaka wa 2020 nchini Marekani kwa niaba ya Donald Trump.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.