Watu nane wakiwemo wanawake wenye asili ya bara Asia wameuawa katika ufyatuaji risasi jimboni Georgia nchini Marekani.
Add a commentMkosoaji wa utawala wa Kremlin nchini Urusi Alexei Navalny ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa instagram kwamba anazuiliwa katika kambi ya mateso eneo la Vladimir Kaskazini Mashariki mwa mji mkuu, Moscow.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema ifikapo Mei Mosi mwaka huu, kila Mmarekani mwenye miaka 18 ataweza kupata chanjo ya COVID-19.
Add a commentKampuni ya AstraZeneca imebainisha kuwa kwasasa tayari imeanza kuelemewa katika hatua yake ya kusambaza chanjo hiyo ya kudhibiti COVID-19 barani Ulaya.
Add a commentJapan leo inaadhimisha miaka 10 tangu kutokea kwa janga baya zaidi la asili katika historia ya nchi hiyo ambalo ni tetemeko kubwa la ardhi, tsunami na kuyeyuka kwa nyuklia lililoathiri taifa hilo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.