Kituo cha kudhibiti magonjwa nchini Marekani (CDC) kimetoa tahadhari kwa raia wake kutofanya safari nchini Kenya kwa maelezo kuwa nchi hiyo ina kiwango kikubwa cha maambukizi ya COVID-19, kitaalamu (A Level 4 alert).
Add a commentWatu wasiopungua 50 wameuawa mpaka sasa katika vita vilivyoanza Jumamosi iliyopita katika mji mkuu wa Darfur Magharibi na hofu bado imetanda kwa wakazi wa mji huo.
Add a commentMwana Mfalme Hamzah Al-Hussein wa Jordan ambaye anaripotiwa kushikiliwa kwenye kifungo cha nyumbani, amesema atakaidi amri ya jeshi iliyomtaka akae kimya.
Add a commentMamlaka za nchini Saudi Arabia zimesema watu waliopata chanjo ya corona peke yake ndio wataruhusiwa kufanya ibada ya Hija mwaka huu huko Mecca.
Add a commentJeshi la Msumbiji linasema kuwa limeukomboa mji wa Pwani wa Palma, ikiwa ni wiki moja toka ulipotekwa na wanamgambo wa Kiislamu.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.