Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken amesema Marekani iko tayari kuikabili China iwapo itahitajika kufanya hivyo, na kuutaja uhusiano wa nchi hiyo na China kama mtihani mkubwa wa kijiografia katika karne hii.
Add a commentMahakama ya ICC imeanza kufanya uchunguzi wa uhalifu wa kivita maeneo ya Palestina.
Add a commentVifo vya waandamanaji wawili wanaopinga mapinduzi nchini Myanmar, leo hii vimezusha lawama mpya kutoka Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala wa kijeshi.
Add a commentMwili wa balozi wa Italia aliyeuawa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika jaribio la utekaji nyara uliotibuka siku ya Jumatatu, umesafirishwa kwenda mjini Roma.
Add a commentMahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.