Star Tv

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken amesema Marekani iko tayari kuikabili China iwapo itahitajika kufanya hivyo, na kuutaja uhusiano wa nchi hiyo na China kama mtihani mkubwa wa kijiografia katika karne hii.

Add a comment

Mahakama ya ICC imeanza kufanya uchunguzi wa uhalifu wa kivita maeneo ya Palestina.

Add a comment

Vifo vya waandamanaji wawili wanaopinga mapinduzi nchini Myanmar, leo hii vimezusha lawama mpya kutoka Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala wa kijeshi.

Add a comment

Mwili wa balozi wa Italia aliyeuawa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika jaribio la utekaji nyara uliotibuka siku ya Jumatatu, umesafirishwa kwenda mjini Roma.

Add a comment

Mahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.