Star Tv

Rafiki wa zamani wa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema anataka kuunda serikali ya muungano na upinzani nchini humo, hiyo ikiwa ni hatua kubwa katika kuufikisha mwisho utawala wa muda mrefu wa waziri huyo mkuu.

Add a comment

Rais wa Syria Bashar al-Assad ameshinda muhula wa nne madarakani kwa kupata asilimia 95.1 ya kura zote zilizopigwa.

Add a comment

Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa limeanza kikao maalum leo kuhusu Israel ambapo Mkuu wa haki za bindamu wa Umoja huo Michelle Bachelet amesema mashambulizi mabaya ya Israel dhidi ya Gaza huenda yakawa yamesababisha uhalifu wa kivita ikiwa yatabainika yalipindukia mipaka.

Add a comment

Rais wa Syria Bashar al-Assad ameshinda muhula wa nne madarakani kwa kupata asilimia 95.1 ya kura zote zilizopigwa.

Add a comment

Rais wa Belarus Alexander Lukashenko amezituhumu nchi za Magharibi kwa kujaribu kutumia tukio la kulazimishwa kutua mjini Minsk ndege ya Ryanair mwishoni mwa wiki ili kuanzisha vita vya kisiasa dhidi yake na kusema zimetumia uwongo kueleza jinsi alivyolishughulikia tukio hilo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.