Rais wa Syria Bashar al-Assad ameshinda muhula wa nne madarakani kwa kupata asilimia 95.1 ya kura zote zilizopigwa.
Add a commentBaraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa limeanza kikao maalum leo kuhusu Israel ambapo Mkuu wa haki za bindamu wa Umoja huo Michelle Bachelet amesema mashambulizi mabaya ya Israel dhidi ya Gaza huenda yakawa yamesababisha uhalifu wa kivita ikiwa yatabainika yalipindukia mipaka.
Add a commentRais wa Syria Bashar al-Assad ameshinda muhula wa nne madarakani kwa kupata asilimia 95.1 ya kura zote zilizopigwa.
Add a commentRais wa Belarus Alexander Lukashenko amezituhumu nchi za Magharibi kwa kujaribu kutumia tukio la kulazimishwa kutua mjini Minsk ndege ya Ryanair mwishoni mwa wiki ili kuanzisha vita vya kisiasa dhidi yake na kusema zimetumia uwongo kueleza jinsi alivyolishughulikia tukio hilo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.