Somalia imetangaza kuwa inarejesha mahusiano ya kidiplomasia na nchi jirani ya Kenya baada ya kusitisha mahusiano hayo mwezi Desemba mwaka jana.
Add a commentBill na Melinda Gates wametangaza talaka yao baada ya miaka 27 ya ndoa, wakisema hawaamini tena kama wanaweza kuwa pamoja kama wanandoa.
Add a commentTakriban watu 44 wamekufa baada ya kukanyagana kwenye tamasha la kidini lililohudhuriwa na maelfu ya waumini wa Kiyahudi wa madhehebu ya Othordox kwenye eneo la Kaskazini mwa Israel na kuwajeruhi wengine zaidi ya 150.
Add a commentKorea Kaskazini imepuuza wazo la kufanya mazungumzo na Marekani siku moja baada ya utawala mjini Washington kusema uko tayari kwa majadiliano ya kidiplomasia kuhusu Pyongyang kuachana na mradi wake wa nyuklia.
Add a commentMarekani na Uingereza zimechukua juhudi za haraka za kuisaidia India mashine za kupumulia na vifaa vya chanjo, baada ya hali ya taifa hilo kuelezwa na Shirika la Afya Duniani kuwa mbaya zaidi.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.